Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Lissu hashindi hata 5%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jane mamboLissu hashindi hata 5%
Hivi sasa tunavyoongea madini ni mali ya nani ?!. Unajua taifa linapata nini ktk miradi hiyo ?!
We umeelewa?Umesoma na kuelewa nilichoandika lakini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpe hii siri baba Jessica pia.Wambulu wanasifika sana kwa nyota. 1995 Mrema alivyotoka Mbulu hali ilibadilika sana.Tutegemee mananau kuwa mengi hapo uwanjani nyakati za usiku na kama Lissu alikubali kuvishwa ule mgorori mweusi ndio shughuli imeshaisha hiyo..
Akili zake kama za LowasaUmesoma na kuelewa nilichoandika lakini?
Hakika lissu is prophet Alive and Ponda is God messenger Alive both are the victors
Jiwe nae afanye kulala uwanjani arusha na wapiga kura wake, si hapendi kushindwa.
Aambatane na "Sheikh Mtapia-Tumbo Alhad" pamoja na Profesa Polepole. Kama hawajaambulia mawe kwa wananchi wenye hasira kali.
Leo hii kauli moja tu ya Ponda imewatoa nyoka wote pangoniKatika mashehe wasio wanafiki na wasioogopa kukosoa watawala mafisadi,katili,waongo,walaghai ni Huyu Sheikh Ponda ,tangu utawala wa Kikwete amekua akipambana kutetea haki ya Watanzania,acheni wale mashehe ubwabwa Alhaji na yule mufti wanafiki tu na bakwata yao
Leo hii kauli moja tu ya Ponda imewatoa nyoka wote pangoniWaTz ni wanafki sana !!. Majuzi sheikh Alhadi Salum wa Dsm alipopanda jukwaani kuiombea Ccm na Maghufuli miaka mitano watu hawakuhoji !!. Mwezi uliopita viongozi wa dini walikusanywa Dodoma kwa nia sawa na hiyo. Watu hawakuhoji !!.
Leo kwa sababu nyumba ya kambo imepata shavu askofu Bagonza, sheikh Ponda na askofu Mwamakula . Ñyoka wote wametoka pangoni !!. Huu ni unafiki wa hali ya juu
Style hiyo ya kuomba kura inaonesha wakipata wapiga kura watakoma. Yaani anasema asaidiwe, badala ya kusaidia wapiga kura!