A right thinking Leader of a country unaweza kulipia kila goli 5M, kununua ndege ya Rais etc wakati una madarasa mabovu kwa watoto wa taifa lako?

A right thinking Leader of a country unaweza kulipia kila goli 5M, kununua ndege ya Rais etc wakati una madarasa mabovu kwa watoto wa taifa lako?

1739263253748.jpeg
 
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!

Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!

Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!

View attachment 3232843
Pamoja na umasikini, lakini kila familia husherekea sikukuu
 
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!

Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!

Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!

View attachment 3232843
Hii sio Tanzania,Tanzania,shule za serekali,uniform zao ni blue na nyeupe,sio nyekundu na,nyeupe.
 
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!

Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!

Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!

View attachment 3232843
Mkapa aliposema lazima ndege ya Rais inunukiwe hata mkila nyasi unategemea nini?

Pili ni nani amewahi maliza au hata kupunguza matatizo ya 🇹🇿 licha ya kutonujua ndege ya Rais au bila kununua goli la mama kwa mil.5?
 
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!

Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!

Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!

View attachment 3232843
Hii shule naifahamu ipo Bukavu Ku-Zaiiii
 
African leaders have a curse.
Bado tupo kwenye evolutionary process kuwa binadamu kamili karne ijayo, kiongozi wa bongo anazaliwa na kukua akiishi na mbuzi chumba kimoja akisoma jalalani siku anapewa madaraka anatumia pesa ya umma millioni 600 kununua gari keshasahau baba zake na ng'ombe zao kule alipokua anakunywa maji machafu na nyani, kisa anaishi Dar na kawa boss.
 
Kuna magari ya gharama kwaajili ya kampeni yameshatua. Kuna viongozi na wale (......) wanapewa nyumba za Serikali huko. Madudu ni mengi. Halafu kuna mwananchi wa hali ya chini, asiyefikiwa na huduma za kijamii. Kama tu kusoma ili atoe ujinga anaanza na hivi.

Tuombe sana Mungu, tuje kupata Raisi wa Wananchi, mwenye kujali watu wote, yaani hiyo hali inatosha kwa bajeti hata 2 tu. Kuna fedha nyingi hubaki mawizarani, hazirudi huwa wanagawana zingeenda huko, watu wabinafsi sana.
 
Back
Top Bottom