Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Walikuwa wanachemsha kwa kutumia Stovesi unakumbuka kulikuwa kunaweza kuwa na mwanakijiji mmoja anamiliki sindano, anachomea wote ila akimaliza kabla ya mwingine anaichemsha kwenye sufuria tunalopikia ugali, kazi inaendelea. na watu walikuwa wanapona kwa imani.
stove kwenye vijiji vilivyoendelea, vijiji masikini walikuwa wanachemshia kichemshio chochote available. I grew up nikijua vitendea kazi vyote vya hospitali huwa vinachemshwa na kure reused.Walikuwa wanachemsha kwa kutumia Stove
Nishapata jab yangu mkuu toka tar 24 nilibahatisha kwa ndugu zetu ZenjWahi chanjo mzee wangu wahi sana
Mlikua mnaumwa gono la mbwa nin??Enzi hizo ukiugua Gonohorea unachomwa sindano ya dawa ya PPF ya ng'ombe. Ndio ilokuwa ina uwezo wa kutibu gono ya wakati huo.
[emoji23][emoji23] nakibaliana na wewe kabisa...mwanangu ukidungwa hilo lazima uache uzinzi.
Umenikumbusha mbali sana..
Kipindi hicho Kule kijijin Dr akija kukutibu anachemsha sindano kwenye maji ya moto mpaka maji yachemke baada ya anaipoza ndio anakuchoma. Akishakuchoma anaondoka nayo anaenda kumchomea mwingne baada ya kuichemsha tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi hizo ukiugua Gonohorea unachomwa sindano ya dawa ya PPF ya ng'ombe. Ndio ilokuwa ina uwezo wa kutibu gono ya wakati huo.
Leo mwaka 2021 Tanzania bado haijaweza kutengeneza sindano kama hii.
Mpaka sasa hapa Dar wanachemsha hivo vifaa kutumika na wengineUmenikumbusha mbali sana..
Kipindi hicho Kule kijijin Dr akija kukutibu anachemsha sindano kwenye maji ya moto mpaka maji yachemke baada ya anaipoza ndio anakuchoma. Akishakuchoma anaondoka nayo anaenda kumchomea mwingne baada ya kuichemsha tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunachoweza ni kuwatengenezea wapinzani kesi feki za ugaidiLeo mwaka 2021 Tanzania bado haijaweza kutengeneza sindano kama hii.
Akili za nyege mbaya sana, ukizidiwa unasahau maumivu ya sindano. [emoji23] [emoji23]mwanangu ukidungwa hilo lazima uache uzinzi.
Ni kweli kabisa haya maisha ndio tumekulia sisi ila ilikuwa ni kwamba sindano aliyotumia kukuchoma wewe ndio hiyo hiyo ataitumia hadi pale dozi husika itakapoisha...Umenikumbusha mbali sana..
Kipindi hicho Kule kijijin Dr akija kukutibu anachemsha sindano kwenye maji ya moto mpaka maji yachemke baada ya anaipoza ndio anakuchoma. Akishakuchoma anaondoka nayo anaenda kumchomea mwingne baada ya kuichemsha tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]