A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Sabasita Kimaro ambae ni baba yake msanii anaeitwa Tunda anapewaga credit sana kwenye kumaliza haya mambo ya ujambazi na umafia hapa Chugga. Japo wengine wanasema nae alikuwa nyamera tu kama manyamera wengine ila chini ya mwavuli wa upolisi.
 
Sabasita Kimaro ambae ni baba yake msanii anaeitwa Tunda anapewaga credit sana kwenye kumaliza haya mambo ya ujambazi na umafia hapa Chugga. Japo wengine wanasema ane alikuwa nyamera tu kama manyamera wengine ila chini ya mwavuli wa upolisi.
Jamaa amekaa sana moshi then moro,hata issue ya kibiti alikua kwenye mission hiyo
 
Huyu Mussa Chessa yupo wapi kwa sasa?
 
Ngunguli alikuwa na kikosi Kazi enzi hizo chuga umafia tele kwa kifua chake.
Ajabu pamoja na kujulikana kuwa Ngunguli ni jambazi bado akapindishwa cheo na akawa na ukwasi wa kifedha mkubwa, akajenga na misikiti huku kwao mji kasoro bahari hadi sasa hakuna aliyejaribu kumstaki kwa kutumia madaraka vibaya.
 
Nyau alitokea tabora ingawa alifia tanga
 
Hivi Young Milionea Muzamil Katunzi kaishia wapi nae a;itesa sana enzi za mkwere yeye pamoja na kaka zake mapacha
 
Nishawahi kupigwa mabapa party za duluti bila sababu....
***** zao
 
Fred alikuwa my close friend na sikutegemea ule mguu ungemuondoa. Such a brother and good friend. Umenikumbusha mbali sana [emoji22]
 
Ajabu pamoja na kujulikana kuwa Ngunguli ni jambazi bado akapindishwa cheo na akawa na ukwasi wa kifedha mkubwa, akajenga na misikiti huku kwao mji kasoro bahari hadi sasa hakuna aliyejaribu kumstaki kwa kutumia madaraka vibaya.

Kawafanyia ccm Kazi nzuri Sana anakula fadhila kwa sasa.
Aliwajengea waislamu msikiti wakaukataa mikono yake imejaa hatia,machozi ya wajane na yatima yanamlilia.
 
ndio nakwambia hao wotw hapo juu kwa jombi walikua watoto chekechea,ndio nikakwambia badae alikua hata anawapora hao uliowataja na mwisho wakaacha kuiba akaingia front ndio tukio lililommaliza.
Huu ni uongo. Yaani uwapore majambazi wawe wanakuangalia tu several times, wasikuundie hata kamati wakumalize wenyewe. Sentesi hii moja nikii paraphrase "aliwaibia majambazi wa Arusha hadi wakaacha kuiba akaingia front mwenyewe" the the WE NI LIONGO SANA
 
Na taxidermist ni rare professional hapa nchini unaweza ukasimama na ukawahesabu wenye ujuzi wa aina hii, wengi hawajui taxidermist ni kazi gani well ni ile ya kumrudisha mnyama aliyekufa katika hali ya kama yuko hai huwa kama pambo katika majumba ya watu hasa wenye kipato kikubwa kwa mfano wale wawindaji wanyama pori wakiwauwa hupenda hao wanyama watengenezwa kama walivyokuwa hai na kuuza kwa matajiri kwa mfano utaona wanyama kama simba,chui na wengine wamefanyiwa taxidermy, ni kazi kubwa na inayochukua muda mrefu kwa mfano kumuwamba simba aonekana kama yupo hai na pia madawa yanayotumika ili ngozi istoe wadudu au harufu. Watanzania wengi ni matinoo hujifanya wanajua kumbe hawajui na pia ni wavivu wa kufanya uchunguzi wa kina wa yale tunayoyasikia, tumebaki na uwendawazimu tu wa kusikia udaku wa akina Zuchu anavalishwa pete, misambwanda na ujinga wa akina domo na wenzake wa aina hiyo.
 
Umri wako kwanza ndugu,usikute unabishana na babazako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…