A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Yalimwaga pesa kwenye mziki tuliwaita mapedeshee,kumbe majambazi
 
We umetia chumvi nyingi tu katika story, suala la umri ni issue tofauti "kijanababu"
Haya wewe umesema,ila ndo ukweli ambao kanisimulia mwenyewe pale kwake Mbeya alipotoka jela.
 
Enzi za saba sita ilikuwa ni shida ila huyu mdudu aliwadungua
 
Nawewe kuna mahali umeongea uongo. Banjoo haishi daraja mbili, anaishi Sanawari pale maduka matatu, amejenga kabisa.

Banjoo alikuwa miongoni mwa manyoka wa Nyari, japo yeye ndio alikuwa kiongozi wa Team yao

Sasahivi ana kijana wake wa kumzaa ni best friend wa mdg wangu, nawafahamu vizuri sana

Huyu Dogo ni mkorofi na mbabe sana kwa wenzake, nahisi atakuja kuwa zaidi ya baba yake au atafungwa jela.

Hayo mengine kuhusu Advocate Mwale ni kweli kesi yake ni ya utakatishaji pesa.
 
Hiyo ndio ilikuwa style yake ya kuiba.

Mnafanya biashara mkimaliza anaagiza vijana wake wakufuatilie wachukue aidha madini au pesa. Aliliza sana Wahindi miaka ya 90 na 2000 mwanzoni na ndipo alipopata hela ya kusimamisha ule mjengo.

Tukio lake la mwisho ni la kwa Mtoto wa Benson huyu Mhindi wa Electronics na hakufanikiwa kwasababu Benson alikuwa na Security camera miaka hiyo ameset kwenye campus ya nyumbani kwake, nafikiri kwa Arusha nzima alikuwa nayo yeye pekee na pale AICC miaka ile, kwahiyo alifanikiwa kuwaona akina nyari wakijaribu kuingia getini kwake

Easly, alichokifanya ni kuita polisi wakakamatwa.
 
RESPECT MKUU...!

Wewe ndio umeeleza UHALISIA zaidi wa Arusha ya enzi hiyo na mitaa yake. Utakuwa umekulia Pangani-Kaloleni, mitaa niliyokulia pia.

Kwa IDD Mkuluu tumeenda Gym yake sana kwenye ofisi za CCM karibu na kituo cha polisi kaloleni

Ila katika wapiga ngumi umemsahau Frank Mwamba huyu ni wa Tengeru, hadi sasahivi ni Mshua ameenda Age ila anapenda ngumi sana...na anawafua raia niajee...!

Kizazi korofi kilichofuata cha mkono, Martial arts hasa karatee ni cha kina Aboubakari Nakoz (Bou-Nako), Lord Eyez n.k na walikuwa na dojo lao halafu SAA 11-12 asubuhi zoezi ni uwanja wa Stadium, yule Akwii anawafungulia tu...!

Dah wako wapi machalii wa OLOLOO kina Ramsoo, Zero, LP, Hussein Tumbo, Spark juniour n.k? nimetoka huko kitambo.

R.I.P Douglas Nako (Dog Nakko)
 
Mdogo wako atafungwa pia
 
Mkuu banjoo hakai daraja mbili,anakaa sanawari ya juu,njia ya kwenda naboisho sekii huyo Ni broo wetu wa kitaa
 
Samson na Delilah...

Kila mahali wanawake ni binadamu wa kusababisha matukio...
 
Ilitokea forest
 
Mkuu banjoo hakai daraja mbili,anakaa sanawari ya juu,njia ya kwenda naboisho sekii huyo Ni broo wetu wa kitaa
Soma vizuri ni mojaa ndio anakaa daraja 2 banjoo najua anakaa sanawari ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…