A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

Soma vizuri ni mojaa ndio anakaa daraja 2 banjoo najua anakaa sanawari ya juu
Hivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? πŸ˜‚ Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.
RIP Amina
 

Kuna wimbo wa Chindo Man uko dedicated kwanza Tumbonii.
 

Kitana ana roho mbichi sana.
Miaka ya 2008/10 alikuwa na eneo kule ibanda karibu na ziwani ambapo kulikuwa na nyumba ambayo iko mbali sana na makazi ya watu karibu kanisa na ziwani. Kwa wakati huo lilikuwa jambo la ajabu sana.

Legend has it kwamba jamaa aliwahi sakwa na helikopta.
 
Hivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? [emoji23] Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.
RIP Amina
Alipata pesa alivyotoka magereza na kujenga nyumba yake nzuri,pia kuna mdogo wake na dada yake wote type za ujuaji
 
Tupe matukio waliyofanya japo moja tu
 
Chusa huyu mchimbaji kuna mwingine alikuwa makaburi ya baniani.
 
Hawa waliharibu taswira ya Arusha inaogopwa hadi leo
 
Hv nani anamkumbuka iddy...waliuawa wakatobolewa macho na gesi...
Nani anamjua Frank Lyatuu... aka Mberee
 
Chusa huyu mchimbaji kuna mwingine alikuwa makaburi ya baniani.
Chusa ni huyu aliyetahirika anaishi kwa Mrefu?
Kama ni huyo alihusishwa na mauaji ya Msuya lakini alichomoka mapema
 
Mkuu unaumwa?
Dat wanaume wanakalishwa na wavulana wa miaka 12? Panya road anafunga mtaa?
 
Hiyo ya kumegwa ndiyo ilimletea depression maana unyanyapaa wake ni balaa. Yani hata akiingia club na wenzake anakosa raha watu wanavyomtazama, anahisi kama kuna mahali walimwona akimegwa.
Basi kwao watakua na nyota ya kumegwa,maana mdogo wake nae Ni Punga.Machalii wa Moshi ..... School wanajifiria daily.
 
Mchicha mwiba ndiko Msando alikotajirikia maana alimfundisha michongo ya town na alikuwa mtu wake wa karibu sana.
Na Msando baadae alijitoa kwny firm ya Mawalla,akaanzisha firm yake na aka-weka picha ya Mentor wake Nyaga pale ofisini kwake.
 
Nlimuambia kaacha watoto wawili mmoja mama yake alikua boss brela na mwingine mama yake wanakampuni ya utalii inaitwa mauly tours
Na Nyaga aliwapiga Brela kwa kuwauzia Software isiyofanya kazi kwa Bil 1.Naelewa sasa alikozitoa hizo connection Sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…