Hivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? π Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.Soma vizuri ni mojaa ndio anakaa daraja 2 banjoo najua anakaa sanawari ya juu
Kwenye simulizi yako umeweka too general ngoja na mimi nielezee kwa ufahamu wangu kuhusu chuga gangsters:
Sadick Mkindi ni legend mtoto wa mzee Mkindi familia maarufu na tajiri Arusha huyo ni mdingi alifanya uhalifu in late 80βs na early 90βs
Majambazi walikuwa kina Chonjo maarufu kwa wizi wa magari, Bob Sambeke, Alex Massawe, Nyari....
Ila kuna hawa magangster wezi na wababe wa mitaani
Alikuwepo Hamis Mtotoo alikuwa anaibia sana wazungu aliuliwa na polisi relini watoto wa Pangani na Bondeni tunamjua vizuri.
Alikuwepo nyokaa alikuwa mwizi hatari katesa sana mianzini, sakina, ilboru na sanawari aliuliwa na polisi sakina
Alikuwepo Tumboniiii alitesa ngulelo, kimandolu kijenge nafkir na yeye aliuliwa na polisi ngulelo
Ngarenaro alikuwepo Mbalulaa alikuwa na mbio hatari akikwapua humshiki
Kuna kundi la wababe hawa hawakuwa wezi ila wababe hatari waliwakosesha raha watu sehemu za starehe kama mawingu club kijenge,roasters garden uzunguni, crystal club, metropole, sabasaba nk miaka ya mwishoni 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000
1. Iddi Mkuluuu (RIP) na kundi lake la Kaloleni gym,huyu bro alikuwa baunsa bonge la mtu mbabe hatari
2. Farijala Athumani(Papaaa) mtoto wa Ngarenaro bdae kijenge alikuwa anapiga kick boxer hatari alikuwa akikupiga kichwa lazima uanguke aliuliwa kwa kuchinjwa pale mtaa wa Jaluo
3.Fredi Jebi na Kabelo walikuwa watoto wa line police fire wababe walikuwa wanapiga gujuruu sio za nchi hii waliwatesa mno watoto wa kishua mjini kina Soican, Yusuph Mirambo, Valee Tango, Alkesh etc. Fredi Jebi alikufa kifo cha ajabu mguu uliota tende na ndio ukawa mwisho wa ubabe wa Kabelo
4.Baba Kisioki βbabaaaβ alkuwaga bondia na mbabe huko sinoni, lemara, njiro na kijenge ckumbuki nini kilimuua
5.Kingkola alikuwa mbabe hatari alikuwa anchezea timu ya Ngarenaro inaitwa βwayamkaliβ mpira hauishi kama kingkola hajapiga tiktatka
Wengine ni kina Omary manjiwaa, sele kishugaa pia kulkuwa na dogo aliitwa Regaa au Julius mambwaa alikuwa kapurwa lkn mbabe hatari alikuwa anatembea na mbwa zaidi ya 20.
Makundi maarufu yalikuwepo ka Kossovo chini ya Festo watoto wa Kambi ya fisi, maghoro na makao. Nako2Nako watoto wa kaloleni βOlolooβ, wakudisi watoto wa bongonyoo na Ungaltd kulikuwa na watoto wa blood ring Esso, watoto wa cheka ungβatwe Sombetini. kuna watoto wa Singβisi walikuwa wanakaa sana tengeru walikuwa ni kwikwi tesa sana watu waliokuwa wnaenda beach party Duluti
Siku hizi haya magenge yamekufa ila waliobaki hatari ni vijana wa βtatu mzukaβ wako kokote omba Mungu usikutane nao
Halafu majambazi yote yakishatajirika na kustaafu ujifichia kwenye dini na ccm kama walezi au wafadhili wa chama. Zakaria wa Tarime, kitana wa Mwanza. Mtu kama hata amestaafu na alikutenda zamani sasa ndo wakati wa kumlipizia kisasi Ili nae aonje maana huwa wanakua hawana attention yeyeto.
Hahaha, Alishazibadilisha kuwa za blockHivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? [emoji23] Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.
RIP Amina
Alipata pesa alivyotoka magereza na kujenga nyumba yake nzuri,pia kuna mdogo wake na dada yake wote type za ujuajiHivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? [emoji23] Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.
RIP Amina
Tupe matukio waliyofanya japo moja tuMimi nawafahamu hawa.....
Babu nyauu wa Ilboru
Chichkoo wa Kaloleni
Tobii wa watengwa
Umbwa lotuno
Marehemu Nyokaa wa Silent In
Mbadii wa Sanawari
Machokodo wa Namanga-Arusha
Maikoo wa Mtaa wa mavi pale mianzini
Chonjo wa Kijenge juu
Marehemu Kitunguu wa Ngulelo
Hussein Tumbo wa Kaloleni
Banjoo -Sanawari, kijana wa Nyari
Na Madingii wengine....! [emoji23][emoji23]
Chusa huyu mchimbaji kuna mwingine alikuwa makaburi ya baniani.Kuna vitu umeongea vya uwongo sana chusa hajawahi kua kibaka au nyamera,mwale hajawahi kuua mtu wa karibu wa nyari zaidi ya kua mwanasheria wake alipopata kesi...kesi ya mwale ni pesa zilitoka nje ya nchi na kuingia kwenye acc yake.
Banjoi hajawahi kua muajiriwa wa tanzaniteone kaja mererani 2013 kuzama kwenye mgodi wa manjulu.
Moja ni fala tu wala hana ujanja zaidi ya huko mtaani kwao daraja mbili
Chusa ni huyu aliyetahirika anaishi kwa Mrefu?Chusa huyu mchimbaji kuna mwingine alikuwa makaburi ya baniani.
Mkuu unaumwa?Hizo mambo ni za vijijini huko.... Eti unakaba unaenda kwenye kesi kuanzia wakili, mkuu wa wilaya sijui nani... Balozi, diwani woooote ni ndugu zako wa arusha.
Unaleta umafia unategemea ndugu,. Arusha ndogo saana usela wa vijijini tu uliwachanganya..
Njoo ufanye uo usee city centre we ni mwanaume.
Chonjo mwenye ghorofa ambalo haliishagi Kijenge juu?Anayemjua chonjo vizuri atupe habari zake, jamaa naskia alikua mafia sana
Basi kwao watakua na nyota ya kumegwa,maana mdogo wake nae Ni Punga.Machalii wa Moshi ..... School wanajifiria daily.Hiyo ya kumegwa ndiyo ilimletea depression maana unyanyapaa wake ni balaa. Yani hata akiingia club na wenzake anakosa raha watu wanavyomtazama, anahisi kama kuna mahali walimwona akimegwa.
Na Msando baadae alijitoa kwny firm ya Mawalla,akaanzisha firm yake na aka-weka picha ya Mentor wake Nyaga pale ofisini kwake.Mchicha mwiba ndiko Msando alikotajirikia maana alimfundisha michongo ya town na alikuwa mtu wake wa karibu sana.
Sasa tangu lini njeree akawa mjanja?Mbona hakuwa mjanja kihivyoo alikuwa boya flani tu
Na Nyaga aliwapiga Brela kwa kuwauzia Software isiyofanya kazi kwa Bil 1.Naelewa sasa alikozitoa hizo connection Sasa.Nlimuambia kaacha watoto wawili mmoja mama yake alikua boss brela na mwingine mama yake wanakampuni ya utalii inaitwa mauly tours