EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Labda hivi majuzi jamaa 🤣🤣🤣 maana wanawake kama maputo kunenepa ni wiki2 tuhakaja nenepa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hivi majuzi jamaa 🤣🤣🤣 maana wanawake kama maputo kunenepa ni wiki2 tuhakaja nenepa?
Ahh hapo kwel tutulie kidogo😀Afu nyakyu hataki😂😂😂
Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako mkuu👍150cm and above it sound
KabisakabisaAhh hapo kwel tutulie kidogo😀
Matengo and Ngoni are of the same ethinicity,too much talkativeOk ok .. hutaki mngoni ila kuna mmatengo hapa.. nikuunge nae? na hutaki mmakonde ila pia nina rafiki wa kimakua, nikuunge nae?
aminMwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako mkuu👍
[emoji23][emoji23]Unataka umbo namba 8 halafu hutaki wanyakyusa, una tatizo mahali wewe.
Uyu ni mkabila 🤣🤣🤣👋Makabila yanahusiana nn na ndoa
Ameshanenepa ana shape ya kufa mtuMbona umeguna? Hako ni kembamba kamenyooka Nlikaonaga selfika mwaka jana mwanzoni kama sio juzi.mwishoni
Kwakweli ni shidaUyu ni mkabila 🤣🤣🤣👋
Kila la kheri kwake
Kwa kile kitako kama cha Zuchu sidhani😂😂😂😂Ameshanenepa ana shape ya kufa mtu
nina wafahamu wanyakyusa zaidi ya unavyo wafahamu yawezekanaUnataka umbo namba 8 halafu hutaki wanyakyusa, una tatizo mahali wewe.
Wewe ana shepu hiyo hautaminiKwa kile kitako kama cha Zuchu sidhani😂😂😂😂
Unanipanga bhana
Tulikukosea wapi wanyakyusanina wafahamu wanyakyusa zaidi ya unavyo wafahamu yawezekana
SI kweli na haiwezekani uwafahamu zaidi yangu.nina wafahamu wanyakyusa zaidi ya unavyo wafahamu yawezekana
mniacheeee 😉Kwakweli ni shida
Nitumie picha PM ficha sura tu sasa ole wako unitumie ya mariam Biriani😅😅😅Wewe ana shepu hiyo hautamini
nimeishi nao,nafahau shida zao hasa kwa mtu wa aina yangu,japo wapo wenye busara zaoTulikukosea wapi wanyakyusa