A woman to marry is needed

A woman to marry is needed

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nenda mkayajenge uyo na vigezo vyake mwache apeleke ushindani lkn kwa jita hapa hii imetokeaje
Wajita wanapenda kuvimba,kufoka mbele ya mwanaume nikawaida yao na hawaonyeki,yaani anataka ufanye yeye anavyotaka iwe labda uwe na mkono mwepesi wa kupiga,sasa mimi siwgezi kupiga,kumtukana wala kumfokea mwanamke,naona ni udhaifu kwangu
 
Kuna mjita mmoja ni rafiki kindakindaki sasa anakwambia bwanake kamkimbia nakwenda kufunga ndoa angali kazaa nae sasa mimi kujiuliza maswali mengi majibu nikakosa kumbe wafokaji kama wanyantuzu mbwa waleπŸ˜‚
 
Ukitaka shule kuhusu hawa viumbe njoo PM nikupe mkasa,na wao kuzaa na kila mtu sio tabu kwao
 
Mfyuuuuu nyie sindio wale mnapenda kulelewa hamtaki vijana kuwa wako busy kupelekwa moto kileleni wanakujua kwer kupitia wazeeπŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚ awe mzeee au kijana, ukimuonyesha short cut way yako ya vilele mbona utafika tu
 
Back
Top Bottom