Aaargh.... Hii Dunia hii. Watu wa hivi wanakuwa NDO BASI TENA Maskini!

Aaargh.... Hii Dunia hii. Watu wa hivi wanakuwa NDO BASI TENA Maskini!

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Tuvijana twa siku hizi.... Tunapenda sana.
1. Kulelewa na mijimama
2. Kudanga
3. Kuwa Chawa
4. Kuwa NDO BASI TENA (MASHOGA)

Yaani hawataki kazi za wima, kazi sugu na kazi za kazi. Wanataka kuinama tu au kukalia kitu wapate pesa. Yaan unashangaa kakijana kanamwona mmama ana gari kanaanza kulambalamba lips n.k

Nimekakuta kamoja kanamwangalia demu wangu mtu mzima flan wa early 40s. Pale Mcity. Demu wangu wa ukweli ana push X5 black ya maana hasa. Kakijana kammfuatilia mpaka ameingia sehemu anakunywa kahawa ananisubiri. Kumbe naye kakaona.

Kakaingia nako kakaenda kaa opp yake. Kakaanza kufanya mbwembwe. Bahati mbaya huyu demu anadharau sana kwa hutu tuvijana. Anapenda kuwaita tuvulana tunatonuka maziwa. Kakamkonyeza. Ndo akapandisha mashetani ya kichaga kukafata kukatandika vibao... Nimefika nakuta zogo walinzi wanakatoa na demu wangu amefura anakawashia moto.

Nauliza nini.. anasema hiki kitoto kinanuka maziwa na mikojo kinanikonyeza mimi... Kimbwa hiki ndo maana vinageuzwa kama mabinti. Ikabidi nimtulize mchanga yule isiwe nongwa. Na tukahama hapo maana ilishakuwa issue.

Vitoto vya siku hizi vimekaa mitego ya kutaka kulelewa. Yaani ni shida sana. Sijui nini chanzo. Na hii imepelekea kuongezeka wale NDO BASI TENA. Maana mwanaume ukishaliwa Radius ndo basi tena hubakiwi na kitu. Vivulana vinataka maisha ghali ila kazi havitaki.
 
chai.jpg
 
Ila nyie wazee mngekuwa serious na maisha, hata uchumi usingetawaliwa na wahindi maana hao ni kizazi chenu pure, wenzenu wakati wanatafuta hela nyie mlikuwa mnaponda mali DDC park mnacheza msondo

Tena hata nyie mlikuwa mnalelewa sana, wamama wanapiga kazi Ila kwenye mazao mnayauza na kwenda kunywa pombe.. Huu nao ulikuwa na umarioo na kama wote mngekuwa responsible kizazi kama cha ommy na diamond kilichotelekezwa kisingekuwepo

Huwa tunanyamaza tu ili kuwaheshimu nyie born before internet 🤣🤣🤣.. Nawatania tu msinipe laana
 
Na hilo jimama lako akipata dogodogo anayemuelewa lazima tu ata mbless utelezi ni vile tu huyo mlamb lips hajamuelewa.

Wanawake Wana Siri zao kile anachokwambia hakipendi jua ndio anachokipenda.

Trust me never trust women nigger.
 
Back
Top Bottom