Universal health coverage is defined as ensuring that all people have access to needed health services (including prevention, promotion, treatment, rehabilitation and palliation) of sufficient quality to be effective while also ensuring that the use of these services does not expose the user the financial hardship.
For a community or country to achieve universal health coverage, several factors must be in place including: A strong, efficient, well-run health system that meets priority health needs through people-centred integrated care by: ... detecting health conditions early; having the capacity to treat disease; and.The guide aims to share specific tools to help you call on policy and decision makers to focus on improving any and all of the three pillars of Healthy systems for universal health coverage - a joint vision for healthy lives (joint vision): service delivery, health financing and governance.
Usijifanye unajua kumbe huna lolote....
Ufafanuzi nzuri. Tanzania kama nchi miundombinu na mfumo mzima bado haujawa tayari kutoa huduma hiyo ya afya.
Kunahitaji kuimarika kiuchumi kwanza na taratibu kuanza kutoa huduma hiyo ya afya. Hivyo basi, ni budi kuimarisha baadhi ya huduma muhimu za kijamii kama vile elimu, maji na nishati, ambazo kimsingi husaidia kuongeza kinga kiafya na kupunguza mahitaji ya matibabu.
Hadi sasa Serikali iliyoko madarakani (ya CCM) inafanya vizuri na ina mipango thabiti kuelekea kwenye "Universal Health Care" (Rejea Ukurasa wa 131-138 wa Ilani ya CCM, 2020 - kiambatanisho)
√ Hongera Dr Akili kwa mada yako ilichochea mjadala. Tuliokuelewa tunaweka nyongeza ya ufafanuzi wako;
√ Quinine, CCM ina Sera, soma ilani, ila CHADEMA sijui, labda iko kichwani kwa mgombea Urais asiye na HOJA ila
VIOJA;
√ Anonymeous, Lissu anajisumbua mwenyewe kwa kutokutambua ya kwamba "hajui kuwa hajui". Anajidai na siasa majitaka zinazoendeshwa na chama chake kilicho na viongozi wasiojua maana ya maendeleo. Maendeleo ya watu (km Universal Health Care) hayapatikani pasipokuwa na uchumi imara (maendeleo ya vitu);
√ Pakawa, je, unazijua "health care" za Sweden na Canada kulinganisha na Tanzania, nchi ambayo ndio kwanza inaingia uchumi wakati? Tungenje uchumi wetu kwanza ili ndoto za kuwa na huduma bora kabisa za kijamii kuliko nchi yoyote duniani, ziwe kweli. Incredible na Bila Bika yawahusu;
√ Sky Eclat, tambua tu kwamba huduma ya afya ubora wake unaelekea huko. Kwa mfano, hakuna aliyetarajia Tanzania ingekuwa na miundombinu imara kwa kipindi kifupi kama sasa. Waliokuwa wakienda Mikoa ya Kanda ya Ziwa, walikuwa wakipita Kenya;
√ BAK, ebu onesha kitu kipi hao wanacho copy kwa Lissu. Soma Ilani ya CCM iliyoambatanishwa nawe weka ya CHADEMA kama anayoyasema Lissu yamo. Yawezekana CHADEMA ndio kwanza wanachapisha Ilani yao kuingiza ya Lissu bila ufafanuzi, kwa maana hakuna walichokifanya kitaifa kuhusu huduma ya afya hata kwenye Halmashauri walizoongoza. Kumbuka ofisi ya chama haijajengwa pia, sembuse kujua maana ya maendeleo?;
√ G Sam dharau ya Lissu dhidi ya Rais aliyeko madarakani ni utovu mkubwa nidhamu ambao ni dalili dhahiri ya tabia ya udikteta. Akipata madaraka ya Urais, hiyo "Universal Health Care" yake itabaki kuwa agenda ya kwenye jukwaa la kampeni;
√BLACK MOVEMENT, tambua kwamba huduma za jamii, ikiwemo afya, zinaboreshwa na Serikali kwa kutumia pia pesa ya mifuko ya hifadhi kuelekea "Universal Health Care". Wanufaikaji pia ni hao hao wachangiaji.
Kutokujua jambo ni kama usiku wa giza.View attachment ILANI YA CCM 2020.pdf