kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Ukimuangalia vizuri yupo kama bibi kizee hiviTatizo hana chura
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuangalia vizuri yupo kama bibi kizee hiviTatizo hana chura
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hana ishu basihamna kitu hapa, huu uzi niliona toka jana lakini sikupoteza muda wangu, heading tu ilinitosheleza kujua kua huyu ni pencil flani yenye weupe weupe kama kawaida yetu wabongo na ugonjwa wa rangi nyeupe.
hafai hata wakati wa njaa
Kabla ya wasafi alikuwa media gani?
Walau namemsikia Cathe radio kadhaa kabla ya kujiunga hapo wasafi ana mkopi demu mmoja yuko kiss fm ya Kenya if not mistaken anaitwa Rae
Sent using Jamii Forums mobile app
amekwambia mrembo kwelikweli, hajasema yule ni miss worldWakawaida Sana, Kawa ni barabara ni ya Kiwango cha Vumbi, ajavuka hata kiwango cha changalawe
Weka na wewe picha yako tuwalinganishe.Wakawaida Sana, Kawa ni barabara ni ya Kiwango cha Vumbi, ajavuka hata kiwango cha changalawe
Huyu mtoto ana sauti moja mashalaah , tena ya kibabe na mi mrembo kweli kweli, naskia Mbosso anatafuna pale, kwa mara ya Kwanza namuonea wivu Mbosso aisee.
Namkubali Sana huyu bi_dada popote alipo mpeni salam zangu, msimu huu wa Corona