Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,028
- 3,241
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hao wanaomponda wakikuonyesha mademu zao utachoka kabisa , huyo binti rangi yake ni hvo hvo , hata ukimchek kwenye interview sasa mtu anakuja et makeup , ooh sjui nin blah blah kbao ......Manzi mkali bana acheni kudiss.....mnapoponda kujeni na facts demu mkali awaje maana naona sjui makeup sjui rangi mi nachoona kuna watu weupe na si wakali na pia wengne wanapaka makeup ila hawakoshi ila ka aaliyah anahitaji pongezi kwa nini asisifiwe bila kuangalia tija kama sijui rangi sijui chura nk....mademu wakali ni hawa mamodo sura flani tamu rangi inaonekana ila io sjui chura sjui nn n mizuri kwenye nguo tu
We umejuaje katikati Hakuna mambo ya kiswahili?Ana sura na rangi nzuri, Ila pale katikati hakuna yale mambo yetu ya kiswahili[emoji3061]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mtazamo wa sura kweli tunaweza watu kutofautiana na ipo hivo ila hapo ulivyosema ana unautangazaji mbovu naona wivu imekutawala zaidi.Kawaida na hata utangazaji mbovu
Nani anapakua mafuta kwenye huu mgodi ?Huyu mtoto ana sauti moja mashalaah , tena ya kibabe na mi mrembo kweli kweli, naskia Mbosso anatafuna pale, kwa mara ya Kwanza namuonea wivu Mbosso aisee.
Namkubali Sana huyu bi_dada popote alipo mpeni salam zangu, msimu huu wa Corona