Aaliyaah Mohamed mtanagzaji wa Refresh Wasafi tv ananikosha Sana

Kila mtu na macho yake.

Ila kwangu naona bado, hapo ukizingatia make up ishafanya yake na bado kwangu wa kawaida, sijui tukiamka tunatizamana asubuhi itakuwaje!! [emoji13][emoji23]🤣
 
Namba yake ni 071**0*8*0

Hints
Namba mbili zimejirudia mara mbili
Kuna namba 3
Hakuna namba 4,5,6 wala 9

Chakata kichwa ukipata mrukie ewani
 
hamna kitu hapa, huu uzi niliona toka jana lakini sikupoteza muda wangu, heading tu ilinitosheleza kujua kua huyu ni pencil flani yenye weupe weupe kama kawaida yetu wabongo na ugonjwa wa rangi nyeupe.

hafai hata wakati wa njaa
Hana ishu basi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manzi mkali bana acheni kudiss.....mnapoponda kujeni na facts demu mkali awaje maana naona sjui makeup sjui rangi mi nachoona kuna watu weupe na si wakali na pia wengne wanapaka makeup ila hawakoshi ila ka aaliyah anahitaji pongezi kwa nini asisifiwe bila kuangalia tija kama sijui rangi sijui chura nk....mademu wakali ni hawa mamodo sura flani tamu rangi inaonekana ila io sjui chura sjui nn n mizuri kwenye nguo tu
 
Vijana wa ktz Coco kweli wakiona pic ya dem/mwanamke wanachanganyikiwa!!!??
washazoe vitu feki feki.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…