Abarikiwe anayeibariki Israel alaaniwe anayeilaani Israel

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Biblia nzuri sana ina kila kitu
soma mandiko utaona sehemu alaaniwe anaeilaani israel
abarikiwe anaeibariki israel

kuwa makini na post za israel jf usishangae unachaondika ndicho kinachokufwata
ama baraka ama laana

sikutishi nakukumbusha
sty blsd Israel
 
🙏🙏🙏
 
Unaamini kuwa mbele ya macho ya Mungu kuna Taifa ambalo ni bora zaidi kuliko lingine ilihali wote aliwaumba yeye?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Waisraeli wale wa kwenye biblia sio hao akina NETANYAHU,,

usijitoe ufahamu.
 

Napokea hiyo baraka
Amina mimi mmojawapo nasimama na Israel kuibariki siyumbi na sijawahi yumba msimamo jua liwake mvua invested Israel niko nao kuwabariki
 
Netanyahu anapoeza ushawishi kwa haraka sana na ndugu zake wameahamuona hana akili, angalia sasa hadi wanaanza kuwekewa zuio kuingia marekani
 

Attachments

  • Screenshot_20231206-114407_Chrome.jpg
    144.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231206-114256_Instagram.jpg
    140.6 KB · Views: 4
Haya hawa hapa waarabu hawaitambui israel lakini mungu anaendelea kuwabariki wameinunua hadi airport ya uingereza heathrow ingekuwa bongo kelele nyingi zingepigwa na tec kisa tu kaona waarabu hadi hao waliokuletea biblia wameshanunuliwa na muarabuna wametulia
 

Attachments

  • Screenshot_20231212-232050_Chrome.jpg
    112.5 KB · Views: 3
Kwa hiyo asie muamini Yesu abarikiwe?
 
Upo sahihi kabisa. Hata wakija nchini kwetu kuvamia na kuua na kusema Ardhi ya Arusha wamepewa na Bwana sisi tuwabariki tu na tusiwalaani kama maandiko yalivyoagiza. HAKIKA KWA UNYENYEKEVU NA UAMINIFU ULIONAO KTK MAANDIKO HATA WAKIJA NA KUSEMA MKE WAKO NI MALI YAO WEWE WABARIKI TU na hakika Mbingu utaiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…