Ndg Bulembo Airfryer umekimbia kujibu hoja, njoo ujifunze kwa kuanzia hapo!.Umeamua kujibu mwenyewe ahahahaaa, sasa ndg Bulembo unasema nikae kimya hebu kabla sijakaa kimya nikuulize.
Wakati ule unashinda pale nje kibarazani musoma mjini kwenye ile nyumba iliyokuwa karibu na majaruba ya mpunga, ulikuwa na idea yoyote ya siasa za ccm?.
Wakati huo kama wewe ni mwanaccm damu usikopi, nani alikuwa mshauri wa ccm kata ya nyasho hapo hapo alikuwa kwenye balaza la ushauri la wazee?.
Niishie hapo kabla sijakaa kimya.
Kwahiyo mwananchi wa kawaida asiye na chama akiyasema haya atakuwa ametenda kosa na atatakiwa kushitakiwa? Iwapi freedom of speech?Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, Mpina alisema kitendo hicho cha Waziri Makamba ni sawa na uhujumu uchumi, akivitaka vyombo vya uchunguzi vifanye kazi kwa madai kuwa ni kuwaumiza wananchi.
Unity PartyNi vile tu hawawezi kurusu usajili wa chama kipya cha siasa ambacho kitakuwa na masalia ya wale walioaminiwa kwenye system ya JPM, na sasa wameenguliwa.
Mambo yangekuwa ni moto sana kuelekea 2025.
Bulembo tenaKada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili ya chama.
Bulembo ambaye ni Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho, ametoa ushauri huo katika mkutano wake na waandishi wa habari akijibu shutuma zilizotolewa na Mpina hivi majuzi baada ya Waziri wa Nishati January Makamba kuondoa tozo ya tsh. 100 kwenye lita ya mafuta.
Bw. Bulembo pia amesema hatua hiyo ya Mpina ni sawa na kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa alikwishalizungumzia suala hilo kwa kulitolea ufafanuzi.
Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, Mpina alisema kitendo hicho cha Waziri Makamba ni sawa na uhujumu uchumi, akivitaka vyombo vya uchunguzi vifanye kazi kwa madai kuwa ni kuwaumiza wananchi.
Mbona wamemkata NEC na hao wasukuma hawajamuokoa? Acheni ukabila, Tanzania ingekua hivyo Nyerere asingewahi kuwa Rais!!Wasukuma ndio wengi na Wana kura turufu 2025, Hiiiiiiiiiiiiiiiii wabheja saaaana.
Kwani mpina ameukosa uwaziri kuanzia liniMpina roho inamuuma kung'olewa uwaziri. Ni bogus tu huyo mtu.
Utajuwa wewe. Kwa sasa hana uwaziri.Kwani mpina ameukosa uwaziri kuanzia lini
Hoja ya msingi umeiacha mkuu,anzisha threats yako,Kumgusa makamba ni sawa na kugusa sharubu za SAMIA raisi hana mda wa kuwasikiliza hao anaona ndio watakaompigania kurudi madarakani 2025 haangalii kelele za wananchi anaona january anatosha hata wasemeje january hatolewi hapo! Hiyo ni ndoto ya mchana kweupe
Wapumbavu kumbe bado mpo?, mpina ni munger,wewe ulitaka afanyaje?,akae kimya?Mpina hakujifunza kwa yaliyomkuta Jobo Mnazaleti na yule katibu mkuu ikulu aliyedumu kwa muda mfupi ever.
Anashika sharubu za Mama...hapo ndipo atajua wanawake wana sharubu ama hawana.