Nina wasiwasi waliwalipa wakata umeme ili mechi iahirishwe😂😂😂wanatia aibu sana
yani kweli wanasemaga Tff ni simba
naona wachambuzi wote simba
kweli utopwinyo tunawalaza na viatu [emoji2][emoji2][emoji2] ivi tukichukua ubingwa si watakufa
hawashindwi hawaNina wasiwasi waliwalipa wakata umeme ili mechi iahirishwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Uweke data hapaMwaka 1974 mbali sana mpira ulikuwa hauna ofsaidi. Mwaka 2014 kuna mwanaume anaitwa Mrisho khalfan Ngasa alikuwa top score CAF TOURNAMENT mbona munakwepesha hili
Yani mko bize na mnahaha sana kuhalalisha ROBO zenu nne..!!!Umesahau na Takwimu hii pia Mwaka 1941 Sunderland ( Simba) ilichukua kombe la afrika kwa nchi zilizokuwa chini ya utawala wa kikoloni. kombe hili lina hadhi sawa na klabu bingwa Afrika ya sasa
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani mko bize na mnahaha sana kuhalalisha ROBO zenu nne..!!!
Acheni porojo, kwani ni lini Yanga ilifika nusu fainali ya klabu bingwa Afrika?Mwaka 1889 Simba iliifunga Zamalek na kubeba taji la Caf ambalo Kwa sasa ndo club bingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wikipedia mtu yeyote anaweza edit na kuweka taarifa yeyote tumia takwimu za CAFJedwali hilo la chini linaonyesha wafungaji bora wa kombe la klabu bingwa Afrika mwaka 1974, Abdallah Kibadeni wa Simba SC alikuwa miongone mwa wafungaji bora.
Na ndiye alikuwa mchezaji pekee asiye na asili ya kiarabu kuingia kwenye orodha hiyo.
View attachment 2607872
Sasa wewe unasikiliza propaganda za hao waarabu?, haya uliza ni timu gani 4 ziliingia nusu fainali ya klabu bingwa Afrika mwaka 1974. Ukijibu hili swali naacha kutumia JF kwa wiki 1.Tuache uongo wana lunyasi View attachment 2609271
Haya, takwimu za CAF zinasema mwaka 1974 ni timu zipi zilishiriki nusu fainali za Klabu bingwa Afrika?Wikipedia mtu yeyote anaweza edit na kuweka taarifa yeyote tumia takwimu za CAF