Abdi Banda: Simba wanaweza kutumia pesa kuwachanganya marefa. Awatahadharisha Kaizer Chief

Abdi Banda: Simba wanaweza kutumia pesa kuwachanganya marefa. Awatahadharisha Kaizer Chief

mpuuze huyo cha kwanza kaniambia mimi siyo mwana simba halafu ananiambia eti nitulize mshono....hii kwa sasa ni mojawapo ya habari inayodiscussiwa sana kwenye pages na blogs za soccer south africa wanaaita team yetu covid 19 team na wanasisitiza banda kachezea simba miaka 3 kwa hiyo anaijua vizuri yaani hata kumtumia barua ya mwanasheria wa simba huyo abdi banda inashindikana?

Halafu we jamaa nilitaka kukupotezea ila naona nikwambie kitu kidogo,
Umeshawahi kuishi South Africa ukaona jinsi Kaizer Chiefs na Orlando Pirates wanavyotupiana madai kama ya huyo former player wa Simba baada ya team mojawapo kufungwa kwenye Derby? (Hata kama team imefungwa kihalali kabisa)

Huyo anayesema hayo ni Simba's former player,hivyo basi madai yake hayana uzito wowote kwa sababu hata hapo kwao wapo wachezaji wanaozungumzia vibaya teams zao za awali,(bitter ex?)
So hakuna kitu cha ajabu hapo kiasi cha wewe kutaka uongozi wa Simba ujisafishe,wewe umepotosha hiyo article kwa makusudi kabisa.

Kwa kukusaidia zaidi,Chiefs ya msimu huu ni MBOVU,wakikutana na Simba wanakwenda na maji,hata wao wenyewe wanajua!!
BTW confusing referees ndio inamaanisha kuhonga refa?
 
Nimekua nikiongea humu juu ya uwezo wa simba,
Simba mnatakiwa mchezo kwa kiwango Chenu halisi kama vile mlivyocheza jana dhidi ya mwadui,na si mazingaombwe
lakini hii ya kutumia
Rushwa
Covid
Ushirikina
Siku moja Mtaumbuka tu,maana lisemwalo lipo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jana simba ndio walionyesha uhalisia wao kwamba kiwango ni kidogo sana kama hawanunui marefa wachezaji au benchi la ufundi na hiyo mbinu yao chafu ya kipimo cha COVID hawana uhakika wa ushindi
Nimekua nikiongea humu juu ya uwezo wa simba,
Simba mnatakiwa mchezo kwa kiwango Chenu halisi kama vile mlivyocheza jana dhidi ya mwadui,na si mazingaombwe
lakini hii ya kutumia
Rushwa
Covid
Ushirikina
Siku moja Mtaumbuka tu,maana lisemwalo lipo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jana simba ndio walionyesha uhalisia wao kwamba kiwango ni kidogo sana kama hawanunui marefa wachezaji au benchi la ufundi na hiyo mbinu yao chafu ya kipimo cha COVID hawana uhakika wa
Nimekua nikiongea humu juu ya uwezo wa simba,
Simba mnatakiwa mchezo kwa kiwango Chenu halisi kama vile mlivyocheza jana dhidi ya mwadui,na si mazingaombwe
lakini hii ya kutumia
Rushwa
Covid
Ushirikina
Siku moja Mtaumbuka tu,maana lisemwalo lipo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Vipofu wawili mnaongozana🤣🤣🤣 subirieni tar 8 tu, mtapata nanyi haki yenu ya mzaliwa wa kwanza
 
Hii hawa wana wa Utopolo hawawezi iona. Huu ndio ukweli wote. Banda hapa anapiga domo kutafuta huruma na sehemu ya kupoozea njaa yake kali
Banda ni mpumbavu wa mwisho. Vita kafungwa nyumbani kwao, Merreikh kateseka nyumbani kupata draw,Giants Ahly walifunga kagoli ka Mungu saidia. Simba katoa best players wawili all over Africa halafu kambwa kamoja kanajinyea huko mpaka kuchafua serikali. Jinga sana
 
Itapendeza tukichezea uwanja wa azam au ngoma ikapigwe tena kule zanzibar hamtoki nyie paka mikia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwanini tuchezee kiwanja kidogo?
Ili muwe mnabutua goli mpaka goli? Hakuna hiyo ngoma kwa mkapa.
Sema MO aongee na serikali ituuzie ule uwanja...
Tutalipa kwa awamu🤣🤣🤣
 
Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa majuzi baada ya kutemwa na team mbovu ya Baroka na yeye kuona hamna team inayomtaka akawa anajipendekeza arudi Simba.

Sasa this week kahojiwa na mtandao(gazeti)kick off huko South Africa KAITUKANA SIMBA NA KUIDHALILISHA VBAYA MNO. NITASHANGAA KAMA UONGOZI WA SIMBA UTAKAA KIMYA.

MKIKAAA KIMYA NA KUPUUZA BASI JUENI TEAM YOYOTE MKIITOA ROBO FAINALI HASWA KAZIER CHIEFS LAZIMA MALALAMIKO YATOKEE...BANDA KASEMA.

- SIMBA INATUMIA PESA KUHONGA MAREFA
  • INADANGANYA VIPIMO VYA CORONA KWA KUSAIDIWA NA SERIKALI
  • INATUMIA MBINU CHAFU KIMCHEZO
===

"Chiefs fans must not expect that Simba will be the easiest of all opponents that they stand to play against,” warns Tanzanian defender Abdi Banda, who spent three years at Simba, in an interview with KickOff.com.

"Chiefs obviously have better quality by way of players and the kind of coaching, tactics and facilities that they have but Simba is a beast. With Simba you must know that it can even get ugly when they play at home. If Chiefs is to get Simba, then they must make sure that if the first leg is here in Johannesburg then they win 4-0 because any other score they will be inviting trouble in Dar es Salaam.

"Simba will use their home ground very by employing all tactics possible both clean and dirty. With this covid going on they can even identify the dangerous players from Chiefs and when you arrive in Tanzania you get to be told that those players are positive. Many teams have already been victims.

officials, supporters, journalists… they are all partisan like that.

"Simba is a team that enjoys government, so they use any tactics in the book to disturb you. No one will ever beat Simba in Tanzania. Simba has money and maybe they will also confuse the referees. So, Chiefs fans must not think of Simba as their ticket to the semi-finals because that won’t happen so easy."
Tumeyazoea hayo. Vp AS VITA yulipowafunga na kutinga robo msimu ule? JE WALIVYOKUJA THIS SEASON IMEKUWAJE. Dadadeq zao 4G. Wakwende Zaooo
 
Halafu we jamaa nilitaka kukupotezea ila naona nikwambie kitu kidogo,
Umeshawahi kuishi South Africa ukaona jinsi Kaizer Chiefs na Orlando Pirates wanavyotupiana madai kama ya huyo former player wa Simba baada ya team mojawapo kufungwa kwenye Derby? (Hata kama team imefungwa kihalali kabisa)

Huyo anayesema hayo ni Simba's former player,hivyo basi madai yake hayana uzito wowote kwa sababu hata hapo kwao wapo wachezaji wanaozungumzia vibaya teams zao za awali,(bitter ex?)
So hakuna kitu cha ajabu hapo kiasi cha wewe kutaka uongozi wa Simba ujisafishe,wewe umepotosha hiyo article kwa makusudi kabisa.

Kwa kukusaidia zaidi,Chiefs ya msimu huu ni MBOVU,wakikutana na Simba wanakwenda na maji,hata wao wenyewe wanajua!!
BTW confusing referees ndio inamaanisha kuhonga refa?
tittle(heading) imebadilishwa na moderators waliosoma jana uzi wameuelewa kwa nini usiufungue? ujisomee mwenyewe?kukaa south africa siyo issue mimi najua hadi ligi ya ukraine inavyoenda ina maana nimekaaa kiev?kaizer hawan aubavu wa kumfunga simba team pekee ya south yenye ubavu huo ni masandwana peke yake hata hao waarabu wa algeria wote wawili wako hali mbaya ligi yao..KINACHONIUMA NI MANENO YA BANDA MTANZANIA MWENZETU maana naona kila mtu anatoka nje ya hoja ya msingi JAMAA KATUHUMU HADI SERIKALI nimeweka lin hamsomi mnaniita utopolo
 
Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa majuzi baada ya kutemwa na team mbovu ya Baroka na yeye kuona hamna team inayomtaka akawa anajipendekeza arudi Simba.

Sasa this week kahojiwa na mtandao(gazeti)kick off huko South Africa KAITUKANA SIMBA NA KUIDHALILISHA VBAYA MNO. NITASHANGAA KAMA UONGOZI WA SIMBA UTAKAA KIMYA.

MKIKAAA KIMYA NA KUPUUZA BASI JUENI TEAM YOYOTE MKIITOA ROBO FAINALI HASWA KAZIER CHIEFS LAZIMA MALALAMIKO YATOKEE...BANDA KASEMA.

- SIMBA INATUMIA PESA KUHONGA MAREFA
  • INADANGANYA VIPIMO VYA CORONA KWA KUSAIDIWA NA SERIKALI
  • INATUMIA MBINU CHAFU KIMCHEZO
===

"Chiefs fans must not expect that Simba will be the easiest of all opponents that they stand to play against,” warns Tanzanian defender Abdi Banda, who spent three years at Simba, in an interview with KickOff.com.

"Chiefs obviously have better quality by way of players and the kind of coaching, tactics and facilities that they have but Simba is a beast. With Simba you must know that it can even get ugly when they play at home. If Chiefs is to get Simba, then they must make sure that if the first leg is here in Johannesburg then they win 4-0 because any other score they will be inviting trouble in Dar es Salaam.

"Simba will use their home ground very by employing all tactics possible both clean and dirty. With this covid going on they can even identify the dangerous players from Chiefs and when you arrive in Tanzania you get to be told that those players are positive. Many teams have already been victims.

officials, supporters, journalists… they are all partisan like that.

"Simba is a team that enjoys government, so they use any tactics in the book to disturb you. No one will ever beat Simba in Tanzania. Simba has money and maybe they will also confuse the referees. So, Chiefs fans must not think of Simba as their ticket to the semi-finals because that won’t happen so easy."
Ni kupoteza muda kujibizana na waropokaji kama hao
Mpira utachezwa watu wataona. Unadhani Simba itanyanganywa ushindi kisa Banda kasema?
 
Ni kupoteza muda kujibizana na waropokaji kama hao
Mpira utachezwa watu wataona. Unadhani Simba itanyanganywa ushindi kisa Banda kasema?
na tuhuma kwa serikali je? kwamba serikali ya Tanzania ina tamper na vipimo vya corona kwa kushirikiana na simba.... maneno yake haya hapa.......
"Chiefs obviously have better quality by way of players and the kind of coaching, tactics and facilities that they have but Simba is a beast. With Simba you must know that it can even get ugly when they play at home. If Chiefs is to get Simba, then they must make sure that if the first leg is here in Johannesburg then they win 4-0 because any other score they will be inviting trouble in Dar es Salaam.


"Simba will use their home ground very by employing all tactics possible both clean and dirty. With this covid going on they can even identify the dangerous players from Chiefs and when you arrive in Tanzania you get to be told that those players are positive. Many teams have already been victims.


kaendelea tena.....
"Simba is a team that enjoys government, so they use any tactics in the book to disturb you. No one will ever beat Simba in Tanzania. Simba has money and maybe they will also confuse the referees. So, Chiefs fans must not think of Simba as their ticket to the semi-finals because that won’t happen so easy."
 
Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa majuzi baada ya kutemwa na team mbovu ya Baroka na yeye kuona hamna team inayomtaka akawa anajipendekeza arudi Simba.

Sasa this week kahojiwa na mtandao(gazeti)kick off huko South Africa KAITUKANA SIMBA NA KUIDHALILISHA VBAYA MNO. NITASHANGAA KAMA UONGOZI WA SIMBA UTAKAA KIMYA.

MKIKAAA KIMYA NA KUPUUZA BASI JUENI TEAM YOYOTE MKIITOA ROBO FAINALI HASWA KAZIER CHIEFS LAZIMA MALALAMIKO YATOKEE...BANDA KASEMA.

- SIMBA INATUMIA PESA KUHONGA MAREFA
  • INADANGANYA VIPIMO VYA CORONA KWA KUSAIDIWA NA SERIKALI
  • INATUMIA MBINU CHAFU KIMCHEZO
===

"Chiefs fans must not expect that Simba will be the easiest of all opponents that they stand to play against,” warns Tanzanian defender Abdi Banda, who spent three years at Simba, in an interview with KickOff.com.

"Chiefs obviously have better quality by way of players and the kind of coaching, tactics and facilities that they have but Simba is a beast. With Simba you must know that it can even get ugly when they play at home. If Chiefs is to get Simba, then they must make sure that if the first leg is here in Johannesburg then they win 4-0 because any other score they will be inviting trouble in Dar es Salaam.

"Simba will use their home ground very by employing all tactics possible both clean and dirty. With this covid going on they can even identify the dangerous players from Chiefs and when you arrive in Tanzania you get to be told that those players are positive. Many teams have already been victims.

officials, supporters, journalists… they are all partisan like that.

"Simba is a team that enjoys government, so they use any tactics in the book to disturb you. No one will ever beat Simba in Tanzania. Simba has money and maybe they will also confuse the referees. So, Chiefs fans must not think of Simba as their ticket to the semi-finals because that won’t happen so easy."

Abdi Banda mwaka Jana alipokuwa Tanzania alitaka ( tena kwa Kulazimisha ) kupitia baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( baadhi Marafiki ) zake ila hakuwa na Kiwango hivyo akawa amechukia na kuwa na Kinyongo ( Kisununu ) na Klabu.

Kipindi cha nyuma ( mwaka Juzi ) huyu huyu Abdi Banda alitutukana Simba SC ( kiasi cha Kutudhalilisha ) ila Busara ikatumika kupitia akina Mgunda na Mkanwa yakaisha.

Naogipa sana kama Haji Manara ( Msemaji wa Simba SC ) nae akiamua Kumjibu Kihuni ( Kimjini Mjini ) Abdi Banda atachafuka kwani ana Dhambi yake Moja mbaya kwa Mwanaume alikuwa akiifanya ( akifanyiwa ) alipokuwa Kijana huko Kwao Tanga.
 
Abdi Banda mwaka Jana alipokuwa Tanzania alitaka ( tena kwa Kulazimisha ) kupitia baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( baadhi Marafiki ) zake ila hakuwa na Kiwango hivyo akawa amechukia na kuwa na Kinyongo ( Kisununu ) na Klabu.

Kipindi cha nyuma ( mwaka Juzi ) huyu huyu Abdi Banda alitutukana Simba SC ( kiasi cha Kutudhalilisha ) ila Busara ikatumika kupitia akina Mgunda na Mkanwa yakaisha.

Naogipa sana kama Haji Manara ( Msemaji wa Simba SC ) nae akiamua Kumjibu Kihuni ( Kimjini Mjini ) Abdi Banda atachafuka kwani ana Dhambi yake Moja mbaya kwa Mwanaume alikuwa akiifanya ( akifanyiwa ) alipokuwa Kijana huko Kwao Tanga.
haswa mkuu nakumbuka kabla hajaja onyango simba inahangaika kutafuta beki wa kati alikuwa anajipigia promo sana kutaka kurudi....shoga kweli yule dogo yaani kaachwa baroka team inayo struggle na relegation kila msimu kabaki mdomo tu
Kanikera sana kwa kweli ,kanikumbusha issue ya kessy ile mechi tuliyowatoa nkana alipokamatiwa on the way to morogoro akiwa na jamaa wa nkana viongozi anawapeleka kwa yule mganga kipofu ,wazalendo wakamuamuru ageuze kurudi dsm
Yaani kaizer chiefs walichotuzidi ni pesa tu halafu bila aibu anasema eti kiufundi wako juu yetu..watu ambao ndo mara ya kwanza hata kuingia group stages?????ila kachafua sana brand hii habari ime circulate sana
Matusi yake wakati wa kuondoka simba hayajasahaulika ,hata kessy pia bora juma nyosso yeye ali force kuondoka lakini hakutukana (dah ila hali ilikuwa mbaya ya kipesa jamani)yaani nyosso alikimbia simba kwenda coastal union kisa pesa za kina bin slum?
 
Back
Top Bottom