Abdu Kiba ampa mimba mwanafunzi wa miaka 19 na kumtelekeza

Masikini.Unakuta Abdu Kiba W Watu La Kwanza Kakojoa Nje La Pili Nje La Tatu Mtoto Kambana Adi Kakojolea Ndani. Kuvuta Bao Kwa Mkono Uwezi Unabaki Kuomba Mungu Tu.
Pole Abdu Kiba Kama Kweli. Ila Mama Kiba Anatakiwa Kuanzisha Kindergarten Ya Wajukuu Maana Wako Kama Kijiji.
 
Hawa mabinti wanapenda sana shobo kwa wasanii sasa wanapata ujauzito wanaanza kulialia kwenye media atulie tu kwao wazazi wake wamuhudumie ajifungue ajitunziye huyo mtoto wake!


Halafu wewe hili jina la Nyerere ulilojipa alikufai. Mwenyewe alikuwa na busara sio mwenye akili za ovyo ovyo kama zako.
 
Kumi na tisa kashakua sana.. asubir kuolewa tu
 
Huyu dogo anamuaibisha king [emoji146] Ali kiba.
 
Sasa huyu binti analalamika nini wakati mtu mwenyewe mzee kabisa.
Inavyoonekana anatafuta kiki hana lolote wala sio wakumuonea huruma mwehu tu huyo
 
mwanamke sura kama kiatu cha mavugo hata mdogo wangu wa kiume anamkataaa
 
Bado wangu.....alafu nduki mpaka mkome kushobokea mastaa....
 
Bado wangu.....alafu nduki mpaka mkome kushobokea mastaa....
 
Huyo mwanamke kajidharirisha tu! Hapo hamna kesi ni mtu mzima tu. Angeyamaliza hayo mambo kimyakimya! Kama anataka umaarufu labda
 
Basi azae...kama ana mimba au anataka umaarufu. Ndio faida ya kutemewa koozi
 
Reactions: iw8
Karithi kwa kaka yke na tabia yao kugawa mimba n kukana
 
Siku hizi hakuna mtu anayeweza kukataa mimba kama mwaka 1970, wakina dada na wazazi jaribuni kujua sheria za haya mambo. Msikubali kubeba majukumu peke yenu, baadae watoto wakikua ndio hawa wanaume wanajitokeza.

Hivi sheria zinasemaje kuhusu wanaokataa watoto wao?
 
Yaani hawa watoto akili ni zero.mmetongozana kwenye mitandao Hawajui kuwa wengine wanataka ku testi na kuondoka tu.mmemalizana kila mtu na hamsini zake.kama unajiheshimu stay away na mitongozo ya mitandaoni unless na wewe ukubaliane na matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…