BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Duh! Watu Mna Maneno!basi amedumaa!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Harmo mkali sana hamjamjua tu huyo dogo jarb kusikiliza nyimbo zake za nyuma bfr WCBLabda alimaanisha harmo ...... Ila kwa Raymond na mavoko...badoo sanaa
mchezaji mpya wa Majimaji kutoka BrazilHuyo ndio nan?
mkuu uko kijijini msimu wa nyani ushaanza??endeleeeni kujishindanisha na hao wapuuuzi wenzenu sio huku kwenye "singeli" watu wenyewe pumzi kisoda mkiambiwa muimbe live mnabaki mnaimba dk 2 dk 20 mnawaachia mashabiki,sasa mliitwa muimbe au muwaimbishe wengine.....????
huyo boya wenu rayvan kwa manfongo atasubiri sana............
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mdogo wake ali kiba ni mwanamuziki wa bongo fleva(underground mkongwe)
Huyo hata kwa huyo Harmo amuwezi na nyimbo zake za mayoyo mayoyoLabda alimaanisha harmo ...... Ila kwa Raymond na mavoko...badoo sanaa
Huyu ndo alimtoa nay wa mitego alafu mnaleta dharau endeleeni kutegemea skendo na promo za kijingaHuyo hata kwa huyo Harmo amuwezi na nyimbo zake za mayoyo mayoyo
Ukifanya skendo lazma uwe star si ndo kazi yenu wcbAmekaa na kaka yke ambaye ni Star muda sana lkn yy bdo ni underground RayVanny Harmonise wamekuja in short time wamekua mastar lazma apanic
Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB.
View attachment 362189
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.”
“Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae hazami,” alisema Abdu Kiba.
Aidha aliongeza kuwa bado hajaona msanii anayeimba type ya muziki wake ndani ya lebo hiyo [WCB].
Hata hivyo mapema mwezi huu msanii huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa yupo tayari kujiunga na lebo wa WCB kama watakubaliana na kuweka hela mezani kauli ambayo baadaye yeye mwenyewe aliipinga kuwa watu hawakumuelewa vizuri alichomaanisha.
RayVanny anaskendo gani?Ukifanya skendo lazma uwe star si ndo kazi yenu wcb
Kama rahisi na yeye afanye tu promo!Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB.
View attachment 362189
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.”
“Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae hazami,” alisema Abdu Kiba.
Aidha aliongeza kuwa bado hajaona msanii anayeimba type ya muziki wake ndani ya lebo hiyo [WCB].
Hata hivyo mapema mwezi huu msanii huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa yupo tayari kujiunga na lebo wa WCB kama watakubaliana na kuweka hela mezani kauli ambayo baadaye yeye mwenyewe aliipinga kuwa watu hawakumuelewa vizuri alichomaanisha.