Abdu Kiba: Wasanii wa WCB wanabebwa na promo, hakuna anayeweza kuimba na mimi

Abdu Kiba: Wasanii wa WCB wanabebwa na promo, hakuna anayeweza kuimba na mimi

Akijiunga wcb anakuwq na madam ritha wa BSS kiki inakaa
 
Sio tu promo,skendo pia , tena wanawake wa bongo movies wanatumika sana
 
Ila kiuhalisia ikiwa ni yeye au wasanii wengine kwa sasa wanaumiza kutafuta promo sana kuliko kufanya kazi nzuri ni ngumu kwa sasa kusema msanii flani anaweza kusimamia show pkee maana nyimbo hana mi nadhani wasanii waanze kuumiza vichwa kama zamani.
 
endeleeeni kujishindanisha na hao wapuuuzi wenzenu sio huku kwenye "singeli" watu wenyewe pumzi kisoda mkiambiwa muimbe live mnabaki mnaimba dk 2 dk 20 mnawaachia mashabiki,sasa mliitwa muimbe au muwaimbishe wengine.....????
huyo boya wenu rayvan kwa manfongo atasubiri sana............
mkuu uko kijijini msimu wa nyani ushaanza??
 
Mdogo wake ali kiba ni mwanamuziki wa bongo fleva(underground mkongwe)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyo hata kwa huyo Harmo amuwezi na nyimbo zake za mayoyo mayoyo
Huyu ndo alimtoa nay wa mitego alafu mnaleta dharau endeleeni kutegemea skendo na promo za kijinga
 
Amekaa na kaka yke ambaye ni Star muda sana lkn yy bdo ni underground RayVanny Harmonise wamekuja in short time wamekua mastar lazma apanic
Ukifanya skendo lazma uwe star si ndo kazi yenu wcb
 
Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB.
View attachment 362189
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.”

“Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae hazami,” alisema Abdu Kiba.

Aidha aliongeza kuwa bado hajaona msanii anayeimba type ya muziki wake ndani ya lebo hiyo [WCB].

Hata hivyo mapema mwezi huu msanii huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa yupo tayari kujiunga na lebo wa WCB kama watakubaliana na kuweka hela mezani kauli ambayo baadaye yeye mwenyewe aliipinga kuwa watu hawakumuelewa vizuri alichomaanisha.



Ni kweli pale hakuna msanii wanaimba makorokocho
 
Wasanii wa bongo fleva hawajitambui...Promo ndo Mziki wenyewe hayo mambo ya nyimb yako nzuri iapenya sijui nini na nini yamepitwa na wakati yani hata kama nyimbo mbaya itapedwa tuu..bila promo, kama hunahela ya promo bora ufanye kazi ingine
 
Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB.
View attachment 362189
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.”

“Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae hazami,” alisema Abdu Kiba.

Aidha aliongeza kuwa bado hajaona msanii anayeimba type ya muziki wake ndani ya lebo hiyo [WCB].

Hata hivyo mapema mwezi huu msanii huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa yupo tayari kujiunga na lebo wa WCB kama watakubaliana na kuweka hela mezani kauli ambayo baadaye yeye mwenyewe aliipinga kuwa watu hawakumuelewa vizuri alichomaanisha.
Kama rahisi na yeye afanye tu promo!
 
Back
Top Bottom