Abdul kortini kwa mashtaka ya kubaka na kulawiti wanafunzi watano

Abdul kortini kwa mashtaka ya kubaka na kulawiti wanafunzi watano

Kaa mbali na watoto....
Kama una mazoea na watoto
Kuwakaribisha kwako wacheze,
Lolote linaweza kutokea...

Ova
kabisa mangi unaweza kua unapenda tu watoto kuchezacheza nao siku wakipata majanga unakua mshukiwa namba moja
 
kabisa mangi unaweza kua unapenda tu watoto kuchezacheza nao siku wakipata majanga unakua mshukiwa namba moja
Unaweza ukapata msala kimasihara,napenda watoto ila sinaga ukaribu nao kabisa
Hii dunia ina mambo mengi
Watu wanaweza pita mulemule
Wakitaka kukurostisha

Ova
 
Unaweza ukapata msala kimasihara,napenda watoto ila sinaga ukaribu nao kabisa
Hii dunia ina mambo mengi
Watu wanaweza pita mulemule
Wakitaka kukurostisha

Ova
naongeaga sana hii kitu na bro anapenda sana vitoto utakuta vimejazana nyumbani kwake kaviachia game vinacheza na anaish peke yake , namwambiaga hawa madogo hata kuongea hawajui siku moja watarishwa ushahid dhid yako ndio itakua kiama chako
 
7÷5 = 1.4

Hapo unaeza ona kila mmoja alimbaka mara ngapi ndugu Jaji.
Ni zaidi ya mara moja japo haitimii mara mbili.

Nawasilisha.
 
naongeaga sana hii kitu na bro anapenda sana vitoto utakuta vimejazana nyumbani kwake kaviachia game vinacheza na anaish peke yake , namwambiaga hawa madogo hata kuongea hawajui siku moja watarishwa ushahid dhid yako ndio itakua kiama chako
Aise aachane nao kabisa
Atakuja kupewa msala

Ova
 
Mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa??????


Usimhukumu kwanza kabla ya kumsikiliza, huenda Kuna masuala ya visasi kwenye ishu kama hizi. You never know. Dunia ya sasa Ina mambo mengi sana.
Miaka 9 hata utamu unakua haujajitengeneza
 
Kwanini wabakaji na wauwaji wasiwe fast tracking kwenye kesi zao
Kila leo ni bado ushahidi haujakamilika
Mmeona wenzetu Riot tu unaenda mahakamani siku hiyo hiyo na hukumu
Sheria zinaweza kubadilishwa, kwanini tusiweke hukumu haraka nao wakabakwe magereza?
 
Kwanini wabakaji na wauwaji wasiwe fast tracking kwenye kesi zao
Kila leo ni bado ushahidi haujakamilika
Mmeona wenzetu Riot tu unaenda mahakamani siku hiyo hiyo na hukumu
Sheria zinaweza kubadilishwa, kwanini tusiweke hukumu haraka nao wakabakwe magereza?
We mjinga hujui kuna watu husingiziwa
 
Kwanini wabakaji na wauwaji wasiwe fast tracking kwenye kesi zao
Kila leo ni bado ushahidi haujakamilika
Mmeona wenzetu Riot tu unaenda mahakamani siku hiyo hiyo na hukumu
Sheria zinaweza kubadilishwa, kwanini tusiweke hukumu haraka nao wakabakwe magereza?
Kwani kesi haiwezi kuchunguzwa haraka akafungwa?
We mjinga hujui kuna watu husingiziwa
Kesi za namna hii Hakimu au Jaji anapaswa kuwa mwangalifu sana katika kuzisikiliza au kwenye kuzitolea Uamuzi, kwa sababu huwa zinaambatana na mambo mengi Sana ya visasi, chuki binafsi, masuala ya kubambikiana Kesi, wivu, n.k. Kwa hiyo Jaji au Hakimu anapoziendesha Kesi za namna hiyo kwa kasi ndogo na kwa muda mrefu inaweza kumsaidia Hakimu huyo kupata taarifa za uhakika kupitia vyanzo vya pembeni kuhusiana na ukweli halisi wa kisa chote kabisa kilichosababisha kuibuka kwa Kesi iliyopo mbele yake. Hii kwa upande mwingine inaweza pia kumsaidia Hakimu au Jaji huyo kufanya Uamuzi sahihi na wa haki kuhusu Kesi husika.
 
Kesi za namna hii Hakimu au Jaji anapaswa kuwa mwangalifu sana katika kuzisikiliza au kwenye kuzitolea Uamuzi, kwa sababu huwa zinaambatana na mambo mengi Sana ya visasi, chuki binafsi, masuala ya kubambikiana Kesi, wivu, n.k. Kwa hiyo Jaji au Hakimu anapoziendesha Kesi za namna hiyo kwa kasi ndogo na kwa muda mrefu inaweza kumsaidia Hakimu huyo kupata taarifa za uhakika kupitia vyanzo vya pembeni kuhusiana na ukweli halisi wa kisa chote kabisa kilichosababisha kuibuka kwa Kesi iliyopo mbele yake. Hii kwa upande mwingine inaweza pia kumsaidia Hakimu au Jaji huyo kufanya Uamuzi sahihi na wa haki kuhusu Kesi husika.
Thank you
Majibu ya kitaalum na bila matusi
Kuna watoto humu
 
Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.

Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14, 2024 mbele ya mahakimu wawili tofauti mahakamani hapo.

Kesi ya kwanza namba 22889/2024 imesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Frola Kaijage na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali, Everester Kimaro.

Akimsomea mashtaka, Wakili Kimaro alidai kuwa kati ya Aprili na Julai, 2024, mshtakiwa alimbaka mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.

Mshtakiwa alikana tuhuma hizo, kesi imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 itakapoanza kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.

View attachment 3070850
Hiyo title inaweza kuuza gazeti likaishia kwenye geti la uchapishaji
 
Back
Top Bottom