kabisa mangi unaweza kua unapenda tu watoto kuchezacheza nao siku wakipata majanga unakua mshukiwa namba mojaKaa mbali na watoto....
Kama una mazoea na watoto
Kuwakaribisha kwako wacheze,
Lolote linaweza kutokea...
Ova
Unaweza ukapata msala kimasihara,napenda watoto ila sinaga ukaribu nao kabisakabisa mangi unaweza kua unapenda tu watoto kuchezacheza nao siku wakipata majanga unakua mshukiwa namba moja
naongeaga sana hii kitu na bro anapenda sana vitoto utakuta vimejazana nyumbani kwake kaviachia game vinacheza na anaish peke yake , namwambiaga hawa madogo hata kuongea hawajui siku moja watarishwa ushahid dhid yako ndio itakua kiama chakoUnaweza ukapata msala kimasihara,napenda watoto ila sinaga ukaribu nao kabisa
Hii dunia ina mambo mengi
Watu wanaweza pita mulemule
Wakitaka kukurostisha
Ova
Aise aachane nao kabisanaongeaga sana hii kitu na bro anapenda sana vitoto utakuta vimejazana nyumbani kwake kaviachia game vinacheza na anaish peke yake , namwambiaga hawa madogo hata kuongea hawajui siku moja watarishwa ushahid dhid yako ndio itakua kiama chako
Ko ukiwa la 3 ungebakwa unamiaka 12 🤔Sasa mimi mbona nilianza darasa la kwanza na miaka 10!
Ni sawa tu. Ila si ungekua na miaka 12 ?Ningebakwa na mama yako bila shaka.
Kweli kabisa, wajengewe sanamu.Watoto wa miaka ya 2000 akili zenu za kufikiria na kupambanua mambo, zipo chini sana.
Haupo sahihi kubeza watu wa itikadi fulani kwa ajili ya ujinga wa mtu? How often wachungaji na madre tumekuwa tukisikia wakihusishwa na haya mambo?Vijana dini ya haki
Miaka 9 hata utamu unakua haujajitengenezaMwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa??????
Usimhukumu kwanza kabla ya kumsikiliza, huenda Kuna masuala ya visasi kwenye ishu kama hizi. You never know. Dunia ya sasa Ina mambo mengi sana.
We mjinga hujui kuna watu husingiziwaKwanini wabakaji na wauwaji wasiwe fast tracking kwenye kesi zao
Kila leo ni bado ushahidi haujakamilika
Mmeona wenzetu Riot tu unaenda mahakamani siku hiyo hiyo na hukumu
Sheria zinaweza kubadilishwa, kwanini tusiweke hukumu haraka nao wakabakwe magereza?
Ni baba yakoWe mjinga hujui kuna watu husingiziwa
Kwanini wabakaji na wauwaji wasiwe fast tracking kwenye kesi zao
Kila leo ni bado ushahidi haujakamilika
Mmeona wenzetu Riot tu unaenda mahakamani siku hiyo hiyo na hukumu
Sheria zinaweza kubadilishwa, kwanini tusiweke hukumu haraka nao wakabakwe magereza?
Kwani kesi haiwezi kuchunguzwa haraka akafungwa?
Kesi za namna hii Hakimu au Jaji anapaswa kuwa mwangalifu sana katika kuzisikiliza au kwenye kuzitolea Uamuzi, kwa sababu huwa zinaambatana na mambo mengi Sana ya visasi, chuki binafsi, masuala ya kubambikiana Kesi, wivu, n.k. Kwa hiyo Jaji au Hakimu anapoziendesha Kesi za namna hiyo kwa kasi ndogo na kwa muda mrefu inaweza kumsaidia Hakimu huyo kupata taarifa za uhakika kupitia vyanzo vya pembeni kuhusiana na ukweli halisi wa kisa chote kabisa kilichosababisha kuibuka kwa Kesi iliyopo mbele yake. Hii kwa upande mwingine inaweza pia kumsaidia Hakimu au Jaji huyo kufanya Uamuzi sahihi na wa haki kuhusu Kesi husika.We mjinga hujui kuna watu husingiziwa
Thank youKesi za namna hii Hakimu au Jaji anapaswa kuwa mwangalifu sana katika kuzisikiliza au kwenye kuzitolea Uamuzi, kwa sababu huwa zinaambatana na mambo mengi Sana ya visasi, chuki binafsi, masuala ya kubambikiana Kesi, wivu, n.k. Kwa hiyo Jaji au Hakimu anapoziendesha Kesi za namna hiyo kwa kasi ndogo na kwa muda mrefu inaweza kumsaidia Hakimu huyo kupata taarifa za uhakika kupitia vyanzo vya pembeni kuhusiana na ukweli halisi wa kisa chote kabisa kilichosababisha kuibuka kwa Kesi iliyopo mbele yake. Hii kwa upande mwingine inaweza pia kumsaidia Hakimu au Jaji huyo kufanya Uamuzi sahihi na wa haki kuhusu Kesi husika.
Miaka 9 mkuu?Mbususu ni balaa
Hiyo title inaweza kuuza gazeti likaishia kwenye geti la uchapishajiMkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi.
Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14, 2024 mbele ya mahakimu wawili tofauti mahakamani hapo.
Kesi ya kwanza namba 22889/2024 imesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Frola Kaijage na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali, Everester Kimaro.
Akimsomea mashtaka, Wakili Kimaro alidai kuwa kati ya Aprili na Julai, 2024, mshtakiwa alimbaka mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.
Mshtakiwa alikana tuhuma hizo, kesi imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 itakapoanza kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.
View attachment 3070850