Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Anasema hiyo hali ikikutokea ni mbaya sana,inabidi ufunge kula wiki nzima bila kula chochote ili mwili uhisi hatari na kuamsha vichochezi mwili ili uweze kujilinda,yaani ni hatari sana,unaweza kupoteza maishaProfessor Janabi anasemaje kuhusu Mtu kutokuumwa
Ila jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Wee jamaaa wewe 😂😂😂😂😂Professor Janabi anasemaje kuhusu Mtu kutokuumwa
Na mama yake ni yupi kati ya bi Khadija au bj Siti?Weka picha ya abdul tumuone
Kati yake na mhe Rais nani mkubwa?Hahahaha njia ya mwongo ni fupi
TV zipo,umeme hakuna. Bora upewe picha hapa JAMII FORUMSWeka picha ya abdul tumuone
Si ndio umeambiwa miaka 2 nyuma, au hujui kusoma kalenda ya kiislamu?2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Kasema kaanza kuugua miaka miwili iliyopita sasa wewe unasema sijui kalenda ya kiislam! Kuna sehemu kataja kalenda ya Kiislamu pale,ubishi mwingine hauna maana.Si ndio umeambiwa miaka 2 nyuma, au hujui kusoma kalenda ya kiislamu?
Sasa kwa makadirio ya haraka haraka ni kama miaka miwili tu hapo. Kwa lugha nyepesi ameumwa miaka michache iliyopita ambayo hauzidi mitano.2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Hili la kulizingatia sana.pia mwenyewe ameandika kwny kitabu chake kuwa maisha yake yote hajawahi kukopa wala kukopesha
Kula dislike kwanza hiyo akili ikukae sawa.Kasema kaanza kuugua miaka miwili iliyopita sasa wewe unasema sijui kalenda ya kiislam! Kuna sehemu kataja kalenda ya Kiislamu pale,ubishi mwingine hauna maana.
Kutoka 2019 hadi 2024 ni zaidi ya miaka miwili na mitano hakusema hiyo ni yako yeye kasema miaka miwili, tukubali tu kakosea labda kavurugwa na msiba.Sasa kwa makadirio ya haraka haraka ni kama miaka miwili tu hapo. Kwa lugha nyepesi ameumwa miaka michache iliyopita ambayo hauzidi mitano.
Tano kwa kiarabu ni mbili sheikhe wanguSasa kwa makadirio ya haraka haraka ni kama miaka miwili tu hapo. Kwa lugha nyepesi ameumwa miaka michache iliyopita ambayo hauzidi mitano.
Mzee Mwinyi alikuwa anakunywa Juice kama kawaida na hata pilau za kwny hafla kama kawaidaDr. Janabi atembelea Hii Kiki[emoji4]
Rais wa Zenj ni mkubwa; ndio aliyewahonga wabunge wamchague mdogo wake kuwa mbunge wa baraza la Africa Mashariki!Kati yake na mhe Rais nani mkubwa?
Alikua na utaratibu wa kulazwa kwa ajili ya full check upHahahaha njia ya mwongo ni fupi
Ni Abdullah sio AbdallahAnaitwa Abdallah sio Abdul