econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Aache kujitapa wakati hayo maandamano hayakutembea hata kilometa moja kuelekea ikulu na wanajua hawawezi kufika huko kinyemela. Ni propaganda tu kwamba walithubutu
Kweli mkuu, hata hatua moja hawakupiga. Waliishia getini ofisini kwao ACT.