Aache kujitapa wakati hayo maandamano hayakutembea hata kilometa moja kuelekea ikulu na wanajua hawawezi kufika huko kinyemela. Ni propaganda tu kwamba walithubutu
waliandamana wapi wakati hata hawakutoka getini. Aache urongo yakeHabari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Huyu dogo ahamie chadema kuongozwa n'a zitto ni kupoteza ndoto yake
Huyu wanamlia timing tu. Watamnyamazisha mazima huyu. Unaandamana kwenda Ikulu weee! Yaani ni sawa na mtu anayetaka kupindua nchi.
Huyu pimbi sijui kama anajua alichonena! chama chenyewe kimebebwa na CUF Zanzibar!
huko ikulu Walienda wangapi?
Kufanya nini?
Kama ni Katiba mpya CDM ilishamaliza kazi siku nyingi sana! hawa wapuuzi waache kudandia treni kwa mbele!
Wakwanza walikuwa JUMUIA YA WANAWAKE WA CHADEMA wakiongozwa na Halima Mdee kipindi cha Kikwete. Waliishia kupigwa mabomu ya machozi na baadhi ya viongozi wa BAWACHA kukamatwa.
Kipindi hicho Abdul Nondo alikuwa anasoma shule ya msingi ndio maana akumbuki
Hawana hoja hawa hata kiongozi wao mkuu ayatollah likitokea tukio lolote utasikia anasema mimi nilikuwa wa kwanza kupata taarifa. Kadri siku zinavyo songa tutawasikia wakisema wao ndio wa kwanza kunya hapa nchini.Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Alipotelea hapo huwez muamini zito ukawa salamaMbona alikuwa chadema. Ghafla alipopata kiki ya kujiteka akaenda ACT .
Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Daaah 🤣🤣🤣Habari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.
Wanafunzi wa UDSM mara mbiliKwahiyo waislam ndo wa kwanza kuandamana,
itakusaidia nini hii