Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Safari ijayo mnaletwa Mwinyi huko bara awe rais wenu Tanzania.Acha aandaliwe kuwa raisi wa Zanzibar 2030 mkuu.
Huyu ndio rais mtarajiwa wa Jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaNi mbunge wa Bunge la Tanzania
Ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania & Zanzibar
Msomi wa Shahada ya Uzamili Sheria aliyoipata Chuo Kikuu Cha Wales nchini Uingereza.
Amehudumu akiwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa Miaka kumi kuanzia 2007
Mwanachama hai na Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi
Mtoto wa Mheshimiwa Ally Hassan Mwinyi na Bi Sitty Mwinyi
View attachment 1624055View attachment 1624057View attachment 1624058View attachment 1624059
Huyu ndio rais mtarajiwa wa Jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaNi mbunge wa Bunge la Tanzania
Ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania & Zanzibar
Msomi wa Shahada ya Uzamili Sheria aliyoipata Chuo Kikuu Cha Wales nchini Uingereza.
Amehudumu akiwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa Miaka kumi kuanzia 2007
Mwanachama hai na Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi
Mtoto wa Mheshimiwa Ally Hassan Mwinyi na Bi Sitty Mwinyi
View attachment 1624055View attachment 1624057View attachment 1624058View attachment 1624059
Mtoto wa mchingaji liz yake ninuchungaji ila watoto wa Nyerere wamepewankz maalum ya kufuga PeacokNi mtoto wake tena! Kwani hakuna kazi nyingine
Imetosha hatutaki umwinyi