Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ni mbunge wa Bunge la Tanzania
Ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania & Zanzibar
Msomi wa Shahada ya Uzamili Sheria aliyoipata Chuo Kikuu Cha Wales nchini Uingereza.
Amehudumu akiwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa Miaka kumi kuanzia 2007
Mwanachama hai na Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi
Mtoto wa Mheshimiwa Ally Hassan Mwinyi na Bi Sitty Mwinyi
Ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania & Zanzibar
Msomi wa Shahada ya Uzamili Sheria aliyoipata Chuo Kikuu Cha Wales nchini Uingereza.
Amehudumu akiwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa Miaka kumi kuanzia 2007
Mwanachama hai na Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi
Mtoto wa Mheshimiwa Ally Hassan Mwinyi na Bi Sitty Mwinyi