Abdulrahman Kinana amempongeza Rais Samia kwa kuvunja rekodi za Mapato

Wanatuonaga hatuna akili hawa watu.. Tunaona na kushuhudia maovu yao.. Kila kitu bei juu.. Hata sijui wanadhani wanamdanganya nani..??
 

Siyo kweli
 
Mapato yasiyoleta impact kwa wananchi ni takwimu hewa tu za kupika majukwaani
Tatizo mnawachukulia watanzania ni wajinga sana.
 
Samia hawezi fanana na wajamaa wasiojielewa
expand...
Magufuli aliinadi hii ilani ya 2020/2025 yaani yeye ndiye mwanzilishi wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere na kwenye ilaani ya 2020 ndiye aliyeisimamia labda ni mmbea wewe au ni tapeli fulani la kisiasa kwa sababu Samia hata kwa 1% hawafanani na Magufuli, kwa sbabu uwezo wa Samia ulitegemea kwa magufuli kwa lugha nyingine Samia bosi wake ni Magufuli huu utapeli unaotuaminisha ety sijui nini ni kwa sababu hauna akili, na akili yako imejaa matope na funza kulinganisha Mwanaume wa chato na vitu vya kijinga ondoa tabia za kimalaya malaya
 
Chaka Huwa hakimtumi mtu kupora,ulitaka ccmifanyaje wakati Mwenyekiti wake wa hapo ndio akiamua kuwa dhalimu?
expand...
Magufuli aliinadi hii ilani ya 2020/2025 yaani yeye ndiye mwanzilishi wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere na kwenye ilaani ya 2020 ndiye aliyeisimamia labda ni mmbea wewe au ni tapeli fulani la kisiasa kwa sababu Samia hata kwa 1% hawafanani na Magufuli, kwa sbabu uwezo wa Samia ulitegemea kwa magufuli kwa lugha nyingine Samia bosi wake ni Magufuli huu utapeli unaotuaminisha ety sijui nini ni kwa sababu hauna akili, na akili yako imejaa matope na funza kulinganisha Mwanaume wa chato na vitu vya kijinga ondoa tabia za kimalaya malaya
 
expand...
Magufuli aliinadi hii ilani ya 2020/2025 yaani yeye ndiye mwanzilishi wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere na kwenye ilaani ya 2020 ndiye aliyeisimamia labda ni mmbea wewe au ni tapeli fulani la kisiasa kwa sababu Samia hata kwa 1% hawafanani na Magufuli, kwa sbabu uwezo wa Samia ulitegemea kwa magufuli kwa lugha nyingine Samia bosi wake ni Magufuli huu utapeli unaotuaminisha ety sijui nini ni kwa sababu hauna akili, na akili yako imejaa matope na funza kulinganisha Mwanaume wa chato na vitu vya kijinga ondoa tabia za kimalaya malaya
 
Chukulia mfano Saizi Samia anakufanyia wewe na ukabiwa hi yo hivyo kwamba wahalifu ni wajanja wajanja utajiskiaje na kuganyaje?
expand...
Magufuli aliinadi hii ilani ya 2020/2025 yaani yeye ndiye mwanzilishi wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere na kwenye ilaani ya 2020 ndiye aliyeisimamia labda ni mmbea wewe au ni tapeli fulani la kisiasa kwa sababu Samia hata kwa 1% hawafanani na Magufuli, kwa sbabu uwezo wa Samia ulitegemea kwa magufuli kwa lugha nyingine Samia bosi wake ni Magufuli huu utapeli unaotuaminisha ety sijui nini ni kwa sababu hauna akili, na akili yako imejaa matope na funza kulinganisha Mwanaume wa chato na vitu vya kijinga ondoa tabia za kimalaya malaya
 
Uhalifu upi? Mbona hamjawahi eleza uhalifu waliofanya? Yaani punguani mmja tuu aje akupore aseme ulishirikiana na Watumishi wa Umma? Yeye ni Mahakama?
expand...
Magufuli aliinadi hii ilani ya 2020/2025 yaani yeye ndiye mwanzilishi wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere na kwenye ilaani ya 2020 ndiye aliyeisimamia labda ni mmbea wewe au ni tapeli fulani la kisiasa kwa sababu Samia hata kwa 1% hawafanani na Magufuli, kwa sbabu uwezo wa Samia ulitegemea kwa magufuli kwa lugha nyingine Samia bosi wake ni Magufuli huu utapeli unaotuaminisha ety sijui nini ni kwa sababu hauna akili, na akili yako imejaa matope na funza kulinganisha Mwanaume wa chato na vitu vya kijinga ondoa tabia za kimalaya malaya
 
Shilingi inazidi kuporimoka na hata hayo mapato kuongezeka hauna faida yoyote kwa uchumi wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…