Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hii ni michezo ya ccm ya kuwahadaa wapinzani kila ukikaribia uchaguzi,Membe atarudi CCM siku wenye sisiemu Yao wako take over
Hawa sisiemu rapa wanatabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki wa chama ataki mchezojohnthebaptist,
CCM haiwezi kufuga mwanachama mwenye kiburi.
Aliomba radhi pale ofisi ya CCM mkoa wa Arusha!Bila shaka aliomba radhi.
Kurudi CCM Sasa haiwezekani membe hawaivi na mzee babaHii ni michezo ya ccm ya kuwahadaa wapinzani kila ukikaribia uchaguzi,
Ngoja upite uchaguzi atarudi ccm.
Hii ni geresha tu
Watamrudisha baada ya uchaguzi kupita Kama walivomrudisha Lowasa na sumayeWanamfukuza mtu ambaye tayari alisharudisha kadi na sio mwanachama wao?
CCM ni waungwana mno.Aliomba radhi pale ofisi ya CCM mkoa wa Arusha!
Hii michezo ya ccm bwana,wote wamoja HawaKurudi CCM Sasa haiwezekani membe hawaivi na mzee baba
Ila the day mzee baba atakopostafu kofia zote mbili hatoamini macho yake huyu jamaa atarudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm sio kama Chadema . Ccm ni mali ya wanaCcm.Mmiliki wa chama ataki mchezo
Wanamfukuza mtu ambaye tayari alisharudisha kadi na sio mwanachama wao?
Sawa, iwe walitoa pendekezo au taarifa, ila nia ya kumfukuza ilishatolewa so hata yeye kwa maneno yake alilitamka hilo na kulibishia coz alisema taratibu hazikufuatwa. Angejitoa kabla ya kamati kuu kusema maazimio yao ya kumfukuza ingekuwa sahihi sana.Kamati kuu haina mamlaka ya kufukuza. Inatoa pendekezo tu. Kama mtu keshajitoa mwenyewe, the so called mkutano mkuu hauna haja ya kumjadiri tena na hilo pendekezo linakuwa halina mantiki (overtaken by events...)
Simple logic ila zwazwa hawezi elewa hii
Aaah wapi,kapinge mawazo ya mmliki wa Sasa ujikute coco au segerea, kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi Hadi sacooss ya mtu mmoja apangae Nani apite Nani asipite, wahamiaji wote ni lzm wapite,nyie mtaendelea kusugua Sana mabenchi.Ccm sio kama Chadema . Ccm ni mali ya wanaCcm.