Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

Sawa.....

Ccm je wamelipwa kiasi gani au wamejilipa kiasi gani

Ova
 
Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.

Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.

Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Je kwa kipindi hicho hicho CCM wamelipwa ngapi? Na Kwanini Kinana hasemi Pesa za CCM? Kweli aliyechota bilioni 50 anashangaa chadema kupata bilioni tatu?

Angalia gapa chini

1. CCM

Chama cha Mapinduzi hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania bilioni 1.33 kila mwezi. Kwa hesabu za haraka haraka mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi CCM wameshapokea shilingi Bilioni 47.88

2. CHADEMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania Milioni 109.68 Kila mwezi.Mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi wameshapokea shilingi Bilioni 3.8.

3. ACT

Chama cha ACT wazalendo hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania Milioni 14 Kila mwezi. Mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi mkuu wamepokea shilingi Milioni 504
 
Ndio maana wanaitisha matembezi ya amani na kuyaita maandamano
 
Je kwa kipindi hicho hicho CCM wamelipwa ngapi? Na Kwanini Kinana hasemi Pesa za CCM? Kweli aliyechota bilioni 50 anashangaa chadema kupata bilioni tatu?

Angalia gapa chini

1. CCM

Chama cha Mapinduzi hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania bilioni 1.33 kila mwezi. Kwa hesabu za haraka haraka mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi CCM wameshapokea shilingi Bilioni 47.88

2. CHADEMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania Milioni 109.68 Kila mwezi.Mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi wameshapokea shilingi Bilioni 3.8.

3. ACT

Chama cha ACT wazalendo hupokea ruzuku ya shilingi za kitanzania Milioni 14 Kila mwezi. Mpaka sasa miaka 3 baada ya uchaguzi mkuu wamepokea shilingi Milioni 504

Kinana emebobea kwenye siasa za kitapeli.
 
Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.

Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali katika mwaka husika.

Kinana amesema ingawa ilikuwa ngumu Rais Samia aliagiza pesa hiyo itafutwe ili walipwe.
Hii ni haki ya CDM na siyo hisani ya CCM
 
Ruzuku ni haki ya CHADEMA kikatiba! Hawana sababu ya kutangaza! Na hizi pesa hazijatolewa na CCM!

Haya, tueleze, Makonda anatumia shilingi ngapi kwenye hizi tamthilia zake za kila siku. Na je ruzuku ya CCM ni kiasi gani?
 
..tofauti ni kwamba Ccm wanapokea ruzuku mara 10++ zaidi ya Chadema
Weww uliluwa unajua kama Chadema walipokea ruzuku ambayo mwanzo walisema hawataki kuchukua ?
 
Tuache siasa za hovyoo! Kwani sio mbowe aliyekataa ruzuku akisema hautambui uchaguzi?. Mbowe ana makandokando mengi Sana..... Mbona hakusema hili kuwa ni sehemu ya masharti ya maridhiano?. Chadema imefikia pabaya HAKUNA ukweli na uwazi!.
Mnaishambulia Chadema kwa kupokea ruzuku iliyo haki yao kisheria, jiulizeni Ccm wamepokea kiasi gani mpaka sasa.

Adha za kukosekana umeme, mfumuko wa bei na mengine mengi ambayo ni haki yenu ila mmepokwa na Ccm mmeyapotezea.

Mmerogwa nyie wadanganyika...
 
Haya ndio Mambo amabayo mbowe hakutaka kuyaweka wazi wakati wa maridhiano!!, Ona wanavyomuumbua Sasa!, Ni aibu kuwa na kiongozi ambaye sio muwazi katika Mambo ya umma!.
1). Je, ccm wamekueleza wamelipwa ruzuku kiasi gani?
2). Je, Chadema hawana haki ya kupokea ruzuku?
 
Tuache siasa za hovyoo! Kwani sio mbowe aliyekataa ruzuku akisema hautambui uchaguzi?. Mbowe ana makandokando mengi Sana..... Mbona hakusema hili kuwa ni sehemu ya masharti ya maridhiano?. Chadema imefikia pabaya HAKUNA ukweli na uwazi!.
Kwa hiyo ruzuku ilikuwepo ila CHADEMA waliikataa, lakini ikawa haipo kwenye bajeti !
 
Back
Top Bottom