Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leteni katiba mpya vinginevyo hatuwaelewi
 
Baada ya uchaguzi wanateuana tena na kuombana misamaha ya kinafki kuwa hadaa Waitwao wanyonge na kuendelea kuzikamua kodi zao kwa anasa na kufruh na familiar zao huku wakiuza rasimali katika nchi ya Waitwao wanyonge ###SiKwaBahatiMbaya,YamepangwaHaya###Wasituone Mazuzu hawa Walafi
 
Huyu Mzee aliomba kupumzika siku nyingi sana.
Acha uongo! Amepatikana hakuna jinsi lazima aondoke lasivyo ilikuwa lazima aondolewe. Tafuta video clips za ziara za mama Katavi utamwona huko akihangaika.... hahahaha...
 
Baada ya vijana wake wa kushoto na kulia kutemwa amejiona hayuko salama ndio maana anajiondoa kuepuka aibu mbeleni.
 
Napata ugumu wa kuamini kuwa uuzaji wa maliasili ni uamuzi wa ntu mmoja.
 
Mkuuu kikwete wanini tena hapa wacha mama apambane mwenyewe ili atakaposhinda kusiwe na fadhila zozote kumrudishia mtu, mama ana kila kitu kashika kwenye mpini, wote ambao wako chini yake wameshika kwenye makali mimi napendekeza aongeze tenguzi kwa wale wote ambao wanamhujumu kwenye hustle zake zote.

Aongeze watu anawaowaamini na watakao msaidia hii nchi ina viongzi wengi wakongwe na waandamizi wengi hakuna kumuogopa mtu et kwa sababu ana background fulani


Mama pambana ukishindwa umeshinda umeshinda umeshinda
 
Samia ni product ya Kikwete. Sasa team Kikwete akawa mgombea mwenza wa Magufuli na ndiye Rais wa sasa.

Katibu mkuu TISS aliyepita ni team Kikwete.

Kinana ni team Kikwete na ndio katoka umakamu mwenyekiti.

January, Nape, Makamba ni team Kikwete na mawaziri watatu wote walikuwa baraza la Rais Samia.

Mtoto wa Kikwete yupo kwenye baraza la Samia.

Haya tutajie mtandao wa Rostam Aziz na Lowassa uliokuwepo madarakani hata wakati wa Magufuli. Nchimbi kitu gani huyu mweupe hafikii hata nusu ya influence ya Makonda. Kwamba Rostam Aziz anamzidi Kikwete influence? Ndoto za mchana
 
 
Ficha ujinga wako. Labda kama ni mgeni sana wa siasa za nchii ndo unaweza kuandika huu ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…