Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Jibu lako lipo kwenye kitabu cha Bible.MWANZO 5.1-4.Kwaiyo walioana kaka na dada na haikua dhambi.Katazo la ndugu kwa ndugu kuchukuana lilikuja badae sana kipindi cha safar ya wana wa israeli.Na vile vile jua kwamba historia ya uumbaji ilikuja kuandikwa badae sana na Musa na asingeweza kuandika kila kitu kilichojiri uko nyuma.
 
Mungu alipoumba hakuumba mtu mmoja mmoja kama binlia inavosema ila..
Aliumba watu kwa makundi biblia ya kale anasema "The Adam" made of blood, so kulikua na makundi ya watu mengi yakiyoumbwa!!

Ukitaka soma zaidi tafta kitabu cha zacharia setchin

"Genesis Revisited
 
Kama Adam na Hawa walikuwa watu wa kwanza kuumbwa je wake za Cain na Abel walitoka wapi?

Na kama walioa dada zao kwa nini siku hizi kumuoa ndugu yaki ni dhambi na sio enzi zile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna movie inaitwa" ze bible " haijitoshelez kabsa, kain alipolaaniwa aliambiwa atawekewa alama ili mtu mwingne asimuue ,huyo mtu mwingne alitoke wapi?,sometimes nadhan bilble ni history ya jamii fulani tu kuhusu asil yao na co cc wote, wagalatia ,wafilipi,warumi ,co wakala,wajaluo,wagogo .
 
Swali jepesi sana.iko hivi
Adam na hawa hawakuwa watu halisi kama tulivyo mimi na wewe bali yalikuwa ni majina ambayo yalitumika kuwakilisha makundi ya watu.so Adam alikuwa anawakilisha wanaume na hawa alikuwa anawakilisha wanawake.lengo la kitabu cha mwanzo ni kuonyesha historia ya binadamu so isingewezekana kuzungumziwa namna kila mtu alivyopatikana so yakachaguliwa majina mawili ili yawe vielelezo au kuwakilisha makundi hayo ya watu.ukisoma vizuri kitabu chenyewe kinajieleza mfano habari ya nyoka kuongea unaona kabisa kwamba No kitu ambacho hakileti maana.so mwandishi wa kitabu kile alitumia majina ya adamu na hawa kwa maana hizo.mfano mzuri ni hadithi za sungura na fisi ambazo hutumia majina hayo kuwakilisha watu halisi.
Mbona kwenye mathayo wameonesha uzao pale hadi kupatikana Yesu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu aliumba watu wengi sema wayahudi kwa ubinafsi wakatunga stori za kujionyesha wao tu
Nafikiri hili ndio jibu harisi. Kwasababu ifuata biblia imeeenda mpka kuwapachika wayahudi, na Yesu wa Nazareti.

Nafikiri watu walikuwepo sema Wayahudi walikuwa wajanja to trace back to their root. Na kutuaminisha.

Zinjathropasi Alionekana afrika. Ukifuatlia kwenye mapango utakuta kuna nyao na zana za zamadamu wa miaka dahari.
 
Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
Nani kakuambia Hawa alikuwa wa kwanza..
Kuna bidada aliitwa Lillith ndio alikuwa mke wa kwanza wa Adam biblia imemtaja mara moja tu sikubuki ni kitabu gani..
Na kuhusu wake za Kane na Abel ni kuwa biblia inatuficha mengi sana ila labda kulikuwa na binadamu wengine jiulize huyo lillith alikuwa na nani alivyosepa kutoka kwa Adam ila wanasema lillith ni mama wa majini alienda kugawa kitumbua kwa shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Soma Biblia mwanzo hadi mwisho, mara zote ukiona mwanamke ametajwa ujue kuna jambo maalumu alilifanya; nitafafanua.
  1. Kama umesoma historia ya Yakobo au Israel yule baba wa wana 12 ambao ndio makabila ya Israel inaonesha alizaa watoto 12 ambao ndio makabila yao but wakati anakwenda Misri imeandikwa kwamba idadi ya wana waliotoka katika viuno vya huyu mzee wa Imani ni 72, maanake ni wa kike pekee yake walikua 60, motto pekee wa kike anae tajwa katika listi ya wana wa Israel ni Dina peke yake and why, because alibakwa na wale wana wa Wahiti.
  2. Yesu alilisha zaidi ya watu 5000 but Biblia imesema wazi kabisa kwamba idadi hiyo ni wanaume tu, unadhani watoto na wanawake hawakuwepo kwenye mkutano wake ule!?
  3. Idadi ya waliotoka Misri to Kaanani ni kama watu laki sita but hiyo ni wanaume tu tena wenye uwezo wa kwenda vitani, what about wanawake na watoto bila kujali jinsia zao!?
Kwa ushahidi huo nina hakika Adamu na Hawa walizaa watoto wengi hasa wa kike zaidi ya Kaini, Habili na Seth.
 
Soma BIblia mwanzo hadi mwisho, mara zote ukiona mwanamke ametajwa ujue kuna jambo maalumu alilifanya; nitafafanua.
  1. Kama umesoma historia ya Yakobo au Israel yule baba wa wana 12 ambao ndio makabila ya Israel inaonesha alizaa watoto 12 ambao ndio makabila yao but wakati anakwenda Misri imeandikwa kwamba idadi ya wana waliotoka katika viuno vya huyu mzee wa Imani ni 72, maanake ni wa kike pekee yake walikua 60, motto pekee wa kike anae tajwa katika listi ya wana wa Israel ni Dina peke yake and why, because alibakwa na wale wana wa Wahiti.
  2. Yesu alilisha zaidi ya watu 5000 but Biblia imesema wazi kabisa kwamba idadi hiyo ni wanaume tu, unadhani watoto na wanawake hawakuwepo kwenye mkutano wake ule!?
  3. Idadi ya waliotoka Misri to Kaanani ni kama watu laki sita but hiyo ni wanaume tu tena wenye uwezo wa kwenda vitani, what about wanawake na watoto bila kujali jinsia zao!?
Kwa ushahidi huo nina hakika Adamu na Hawa walizaa watoto wengi hasa wa kike zaidi ya Kaini, Habili na Seth.
Mkuu ila mbn ktk Yoshua 2 :3;4 ametajwa mwanamke ? au mie kdg nakosea
Screenshot_2019-02-13-17-56-20.jpeg


MTC | 101| [emoji769]
 
Mkuu ila mbn ktk Yoshua 2 :3;4 ametajwa mwanamke ? au mie kdg nakosea View attachment 1021514

MTC | 101| [emoji769]
Unadhani lingekua sio tukio la kufichwa hao wapelelezi na hiyo kazi yake ya ukahaba huyo dada angetajwa? Nisome tu vizuri mkuu, nilicho sema ni kwamba ukiona mwanamke ametajwa sehemu nyingi za Biblia basi kuna tukio maalumu amelifanya!
 
Adam na eva waliishi mia zaidi ya mia tisa.



Ukituliza kichwa vizuri utajua kaini na abel walioa nani.


Ungeuliza kain na abel walioa wakiwa na umri gani ingekuwa hoja nzito.

What if walioa wakiwa na miaka mia saba.
Miaka mia saba sikijiji kabsaa.
Hicho kijiji nani katengeneza kamawao hawakuoa? Hoja ya msingi ndani ya hii mada ni kuwa ndugu walikuwa wanazaaana wenyewe kwa wenyewe. Kwa maana ya kaini alimwoa dada yake na kuzaa naye. Abel tunaambiwa aliuawa na Kaini.
 
Mbona kwenye mathayo wameonesha uzao pale hadi kupatikana Yesu

Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia haisomwi hivyo ukisoma yuda 1:14 inasema Henoko ni mtu wa 7 baada ya Adam..... Sasa jiulize kuna watu wangapi walizaliwa na Adam ila hawajahesabiwa kaja kuhesabiwa kizazi cha Seth pekee?? Yaani Adam-Seth-Enosh-Kenan-Mahaleel-Yared-Enoch.

Ukipiga hesabu utaona Cain hakuhesabiwa kabisa?? Je cain hakuwa mtu?? Abel hajahesabiwa hapa ila je Abel hakuwa mtu?? Biblia inaandika wale watu muhimu tu iliokusudia kufikishia ujumbe ila haimaanishi Adam ndio mtu wa kwanza au hakukuwa na wanadamu wengine. Otherwise tukienda hivo huyu Yuda angekuwa amepotosha kuwa kulikuwa na watu saba tu (Vizazi) baada ya Adam hadi kufika kwa Enoko
 
Nani kakuambia Hawa alikuwa wa kwanza..
Kuna bidada aliitwa Lillith ndio alikuwa mke wa kwanza wa Adam biblia imemtaja mara moja tu sikubuki ni kitabu gani..
Na kuhusu wake za Kane na Abel ni kuwa biblia inatuficha mengi sana ila labda kulikuwa na binadamu wengine jiulize huyo lillith alikuwa na nani alivyosepa kutoka kwa Adam ila wanasema lillith ni mama wa majini alienda kugawa kitumbua kwa shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi kweli kweli; hebu tuwekee hicho kitabu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma Biblia mwanzo hadi mwisho, mara zote ukiona mwanamke ametajwa ujue kuna jambo maalumu alilifanya; nitafafanua.
  1. Kama umesoma historia ya Yakobo au Israel yule baba wa wana 12 ambao ndio makabila ya Israel inaonesha alizaa watoto 12 ambao ndio makabila yao but wakati anakwenda Misri imeandikwa kwamba idadi ya wana waliotoka katika viuno vya huyu mzee wa Imani ni 72, maanake ni wa kike pekee yake walikua 60, motto pekee wa kike anae tajwa katika listi ya wana wa Israel ni Dina peke yake and why, because alibakwa na wale wana wa Wahiti.
  2. Yesu alilisha zaidi ya watu 5000 but Biblia imesema wazi kabisa kwamba idadi hiyo ni wanaume tu, unadhani watoto na wanawake hawakuwepo kwenye mkutano wake ule!?
  3. Idadi ya waliotoka Misri to Kaanani ni kama watu laki sita but hiyo ni wanaume tu tena wenye uwezo wa kwenda vitani, what about wanawake na watoto bila kujali jinsia zao!?
Kwa ushahidi huo nina hakika Adamu na Hawa walizaa watoto wengi hasa wa kike zaidi ya Kaini, Habili na Seth.
Kwa hiyo tuseme Kaini na Abel walioa dada zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kijiji nani katengeneza kamawao hawakuoa? Hoja ya msingi ndani ya hii mada ni kuwa ndugu walikuwa wanazaaana wenyewe kwa wenyewe. Kwa maana ya kaini alimwoa dada yake na kuzaa naye. Abel tunaambiwa aliuawa na Kaini.
Abel wakati anauwawa biblia haikusema walikuwa na unri gani kwahiyo tu assume kwamba alikua na mke pia. Sasa kama walioa dada zao kwa nini leo iwe dhambi kwa mtu kumuoa dada yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abel wakati anauwawa biblia haikusema walikuwa na unri gani kwahiyo tu assume kwamba alikua na mke pia. Sasa kama walioa dada zao kwa nini leo iwe dhambi kwa mtu kumuoa dada yake?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sayansi inakataza kufanya inbreding. Siyo kwa binadamu tu, hata kwa wanyama ili kuepusha magonjwa ya kijenetiki kama albinism, ulemavu wa viungo, pumu, sukari za kurithi, mtindio wa ubungo, utahira n.k

Katika Biblia kadiri watu walivyokuwa wakiongezeka ndivyo na suala la katazo la ndugu wa karibu kuoana lilivyokuwa likishika kasi. Soma kitabu cha Walawi.
 
Back
Top Bottom