Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Abel na Kaini (kizazi cha Adamu na Hawa); Je, wake zao ni kizazi cha nani?

Sayansi inakataza kufanya inbreding. Siyo kwa binadamu tu, hata kwa wanyama ili kuepusha magonjwa ya kijenetiki kama albinism, ulemavu wa viungo, pumu, sukari za kurithi, mtindio wa ubungo, utahira n.k

Katika Biblia kadiri watu walivyokuwa wakiongezeka ndivyo na suala la katazo la ndugu wa karibu kuoana lilivyokuwa likishika kasi. Soma kitabu cha Walawi.
Mimi nadhani biblia ni mawazo ya watu amabo walikuwa wanandika mambo yao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo tuseme Kaini na Abel walioa dada zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap, something like that; remember katazo la kuoana ndugu kwenye Biblia limeanza kwenye sheria za Musa, think about it before the law of Moses mambo yalikuaje? Remember Musa kaja miaka kibao baada ya Agano la Mungu na Ibrahim, Musa katokea baada ya kina Yakobo na wanae wote kua wameisha KUFA miaka kibao iliopita, think about it. Kwenye huo uzi hapo ulio nikoti (quote) nimeeleza habari za dada yao kina Lawi anaitwa Dina, ni kwamba alibakwana wana wa kihiti, hao Lawi na nduguze waliua mji mzima kwa upanga kwani walichukizwa na kitendo cha Wahiti kulala na dada yao, kwa ufupi hawakutaka wao (wana wa Yakobo ) kuoana na wamataifa so think about it, unadhani hao dada zao walioana na kina nani!? Hi ni miaka mingi sana kabla Musa hajatokea, yaani hata hakua anafikiriwa, kwa makisio yangu is over 450 years kabla ya Musa.
 
Back
Top Bottom