TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

Mr. Ebbo ameugua kwa muda mrefu sana, aliletwa Arusha akitokea Tanga alikokuwa akifanya shughuli zake za muziki akiwa hoi bin taaban.
Tanga alikuwa na msichana wake anaitwa Rose naye alikufa kwa magonjwa hayo hayo ya UK.
Baada ya hapo akaokoka na kurekebisha njia zake.
Wito wangu kwa wasanii na jamii kwa ujumla, wacheze salama, ukimwi upo na unaua.
 
Mhh, no comment, ila upo na unaua!
 
usimfananishe mr.ebo na MJ kwa sababu ni watu wa wawili tofauti hata hivyo mashabiki wa marekani na bongo ni tofauti..mashabiki wa marekani wana love ya ukweli na wananunua kazi tofauti na bongo.Toa mfano ni msanii gani wa bongo aliyefariki na kuuza copy nyingi(baada ya kifo chake).Mimi naongelea sana kwa upande wa watangazaji koz ebo aliugua kwa zaidi ya miezi 6 bt no one cared abt it,alivyokufa ndo waleta uzandiki yoo

Pointless taken and deleted!!
 
Kweli . Zaidi ya wito huo. Ukigundua umeambukizwa usikimbilie kuokoka maana hutapona kimwili. Ukiamua kuokoka poa tu ila wokovu bila ARV hausadii cho chote zaidi ya kuondoka mapema. Bahati mbaya wachungaji wengine wa kondoo huwadanganya victims wao hata wasitumie dawa za ARV. Na walaaniwe kama wale wanoambukiza ukimwi makusidi. R.I.P Me Ebbo.
 
Ni kweli hata mimi nimesikia jamaa alikuwa kachoka haswa rangi ya ngozi yake ilibadilika ikawa nyeusi kama mpingo.Sehemu kubwa ya mwili wake ilijaa mabaka makubwa hata macho yake yaliathirika vibaya.

 
Kha! Kaka umefunguka!

Kama ni kweli usemayo basi big up sana maana watu wengi hasa mastaa kama wanavyojiita wenyewe huwa haisemwi wakifa na hii kitu, kama ni kweli basi mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone. Ila kama ni habari ya kutunga ndugu yangu, Mungu akuhurumie tu
 
Ukiwa unampenda utamlinda ,
RIP Mr Ebbo..ni bora umesema sumbalawinyo maana wa tu huwa wanapindisha habari..mara ooh amerongwa ,ooh ameugua Figo mara maini ..jamani mungu atunusuru na hili janga
 
Mr. Ebbo ameugua kwa muda mrefu sana, aliletwa Arusha akitokea Tanga alikokuwa akifanya shughuli zake za muziki akiwa hoi bin taaban.
Tanga alikuwa na msichana wake anaitwa Rose naye alikufa kwa magonjwa hayo hayo ya UK.
Baada ya hapo akaokoka na kurekebisha njia zake.
Wito wangu kwa wasanii na jamii kwa ujumla, wacheze salama, ukimwi upo na unaua.

Ukweli Tanga hivi sasa hakufai kwani kumechafuka kuliko zile enzi zetu maana siku hizi nasikia wanalazimishana kumtembelea Cameroon hata kama una allergy naye..UuusFsc#@Sxxx.... kwa kwenda mbele na mafuta ya Rays kwenye mikoba yao
 
Kwani Mr Ebo alikuwa chadema? kadi namba ngapi? kama sivyo kwa nini na CCM, TLP, UDP wasiende tu kumzika mtanzania mwenzetu alikuwa mtu wa watu wote na alituimbia wote bila kujali chama!!!!!!!!!

Akifa fisadi ndo wataenda kuwazika
 
Jamani au kwa sababu Ebo alikuwa maarufu mbona Lema hakuja kifo cha mama yangu hapa hapa Arusha...... siasa bana zinabagua sijui kwa maslahi ya nani. kila jambo linabebwa kulingana na litakavyosaidia siasa.

Ulimtaarifu akakataa kuja?
 
All in all tumwombee Mr ebo apate pumziko la milele Amen
 
AIDS HERO:
PHILLY BONGOLE LUTAAYA
by Open Vision Youth Club


[TD="align: left"][FONT=arial, helvetica, sans-serif]
philly2.jpg

WHO WAS PHILLY BONGOLE LUTAAYA?
Born in 1951, Philly Bongole Lutaaya had a thriving music career in Uganda in the 1960s. In the 70s he performed various concerts in other countries like in the Congo, Kenya, and Japan, and finally settled in Stockholm, Sweden in the mid 80s. There he recorded his hit album, "Born in Africa," making him Uganda's top musician of the 80s.

REASONS FOR CHOOSING HIM TO BE OUR HERO:
In 1989, at the peak of his music career, when fame, glamour and prestige were on his side, Philly dreamed of saving his fellow countrymen and the future generation from a disease that had caught like bushfire and had already registered devastating effects throughout Uganda. Death, death, and death was the order of the day. For instance, in the Rakai District, South Western Uganda, 70% of the adult population had vanished because of HIV/AIDS, leaving behind helpless orphans. But the cause of their deaths remained a mystery because many thought the devastating effects of HIV/AIDS were the result of spells from African witchcraft (juju).
By that time, Philly was already infected with the virus. At the time, in Uganda, the truth about the disease was concealed because the word SEX had to be mentioned which is a TABOO in our culture. But amidst discrimination and rejection, Lutaaya was determined to unveil and reveal the Truth that "AIDS was the killer and it was spread through SEX, and blood contact."
Lutaaya's campaign affected all districts of Uganda. The following are some educational lyrics from his AIDS awareness song and album, "Alone":
"Today it's me
Tomorrow someone else
It's you and me
We've got to stand up and fight
We'll take a light in the fight against AIDS
Let's come on out
Let's stand together, fight AIDS
In times of joy, in times of sorrow
Let's take a stand and fight on to the end
With open hearts, let's stand up and speak out to the world
We'll save some lives, save the children of the world."

philly3.jpg

FRUITS OF HIS DECLARATION:
Because of his efforts, now there's a nationwide AIDS awareness campaign supported by the Ugandan government as well as non-government organizations (NGOs) and other donor countries who have become aware of the situation through the media -- radio, television, newspapers and magazines.
There is also a concerted grassroots awareness campaign spearheaded by religious and cultural leaders in the deep rural areas of Uganda.
The gospel they preach encourages the use of condoms as well as abstinence, faithfulness, and love and care for those already infected. This message has changed people's attitudes towards the disease, provided more information about HIV/AIDS, and has led to the reduction of both AIDS-related deaths and new cases throughout Uganda.

PHILLY BONGOLE LUTAAYA: A HERO
His initiative has benefited us, the youth of Uganda, and our lovely country, making it a role model for the rest of Africa in the struggle against HIV/AIDS. That's why we chose "the late Philly Bongole Lutaaya" to be our Hero as we commemorate and honor him on the anniversary of his death, which occurred on December 15, 1989.
"May his soul rest in eternal peace."
Researched and Submitted by:
OPEN VISION YOUTH CLUB ENTEBBE UGANDA
P.O.BOX 92
ENTEBBE, UGANDA
EMAIL: openvyp@mail2uganda.com
Sources: The 1988 "Born in Africa" concert catalogue, newspapers, and personal accounts from close friends and relatives of the late Philly Bongole Lutaaya.
[/FONT]
[/TD]
 
Back
Top Bottom