Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli . Zaidi ya wito huo. Ukigundua umeambukizwa usikimbilie kuokoka maana hutapona kimwili. Ukiamua kuokoka poa tu ila wokovu bila ARV hausadii cho chote zaidi ya kuondoka mapema. Bahati mbaya wachungaji wengine wa kondoo huwadanganya victims wao hata wasitumie dawa za ARV. Na walaaniwe kama wale wanoambukiza ukimwi makusidi. R.I.P Me Ebbo.
ARV ni kama virutubisho au vitamini mwilini, hivyo havina madhara yoyote, ni mchungaji yupi alizuia watu wasitumie hizo ARV, uwe mkweli? Wachungaji ni waelewa vile vile usiwafanye mbumbumbu!!!!!Kweli . Zaidi ya wito huo. Ukigundua umeambukizwa usikimbilie kuokoka maana hutapona kimwili. Ukiamua kuokoka poa tu ila wokovu bila ARV hausadii cho chote zaidi ya kuondoka mapema. Bahati mbaya wachungaji wengine wa kondoo huwadanganya victims wao hata wasitumie dawa za ARV. Na walaaniwe kama wale wanoambukiza ukimwi makusidi. R.I.P Me Ebbo.
asante kwa picha. dah! ni kweli ametutoka KINEGA WETU. Mungu amuweke mahali pema peponi amina. Mia
wazeiya kama kafa na ngoma kweli aisee hili dude ni noma.....huwezi kumtambua hapo....RIP jemedari
Asante kwa picha dada, machozi yamenitoka.... jamani kifo kibaya hiki
Nakubaliana na wewe. Kuna kila sababu kwa marehemu kwa kufuata sheria za dini ya kiislamu kusitiriwa na walio hai. Si amini Kama angekubali picha ninayoiona au namna alivyo ionekane/aonekane.ubinaadam kazi...kuna haja ya kumsimanga marehemu!!!
umenena mkuu, hata mm nilifikiri kitu kama hichi..sidhani kama angependa aonyeshwe katika hali ile...ndio maana waislamu wanasema maiti anaona aibu!Nakubaliana na wewe. Kuna kila sababu kwa marehemu kwa kufuata sheria za dini ya kiislamu kusitiriwa na walio hai. Si amini Kama angekubali picha ninayoiona au namna alivyo ionekane/aonekane.