Hongera mzee, na pole kwa kutopata kura za kutosha kwenye maoni.Kufuatia mimi siku hizi kuwa ni kada mpya wa Chama cha Mapinduzi, kila nikuona humu CCM inabagazwa, au viongozi wa CCM wana bagazwa, siwezi kukaa kimya, nitajitokeza kuwatetea na kukitetea chama changu humu Mitandaoni.
P
Tulia utajionea mwenyewe. Tulia tuliiiSasa hapo shida iko wapi?
Kwa maleta mada unafikiri hii itabadirisha hali yetu na kuambiwa tuna waginjwa elfu 20 kama jirani zetu Kenya?
Kwahiyo maambukizi yamesambaa lakini watu hawafi,au wanakufa lakini watu wanaogopa kusema?sijakuelewa vizuri hapo...Mwakilishi wa Kenya juzi karudia angani kwa kuogopa maambukizi ya covid-19 yalivyosambaa nchini Tanzania....Tanzania tutatengwa hadi na mafisi!Kiburi sio maungwana....tutaelewana tu!
Kwahiyo taarifa za Corona ya Tanzania wamezipata baada ya kupaa angani? Ebu acha kutuabisha hapa.Mwakilishi wa Kenya juzi karudia angani kwa kuogopa maambukizi ya covid-19 yalivyosambaa nchini Tanzania....Tanzania tutatengwa hadi na mafisi!Kiburi sio maungwana....tutaelewana tu!
Unatishia kujamba huku unaharisha?Mnacho kifurahia ndicho kitakachozuwia wangalizi wa uchaguzi toka huko duniani, ndiyo maana michadema tukiwaambia akiri hamna mnakasirika
Tangu umeanza kupiga kelele kuwa Corona ipo tena ni ya kutisha Nani kwenu kafa, huna jibu, basi je wewe umeambukizwa Napo huna jibu
Sasa mnachokifurahia, naomba tu hata Mh JpM akiunge mkono tena aende mbaali kabisa Kwa kutangaza kuwa tunakiwango cha juuu kabisa cha maambukizi na apige marufuku Kwa watu kuingi ndani na pia hakuna kutoka nje, na uchaguzi ufanyike,muone sasa mnachokitafuta
Pumba....vu zenu nyinyi, halafu tena mpige kelele sjui wangalizi itakuweje
Kila siku sjui Corona, Corona ni kama wimbo, Tulisha Sema Corona hakuna Tz na hata kama ipo, Mungu kaifanya namna ambayo haisababishi matatizo makubwa kama huko Kwa wenzetu
Hutuna kosa, ni utaratibu tu wameweka. Siyo lazima uende kwao kama huo utaratibu unakushinda. Unakumbuka hata nchi yetu mwanzoni tuliweka utaratibu wa wageni wanaoingia TZ kukaa karantini kwa gharama zao wenyewe. Sasa huko wao wanataka usiingie kwao bila kupima, sioni shida hapo kwa sababu huo utaratibu hawajawekewa watz peke yao.Huku tunakoenda watatulazimisha tuchanje chanjo ya corona...
Kosa letu nini? Kutoweka lockdown? Walokoweka lockdown corona imeisha?
Idadi ya wanaotufanyia ubebeberu inaongezeka naona. Hawa waarabu tuwaite mavulata badala ya mabeberu. Mabeberu wabakie wazungu tuNakumbuka Mchechu wa NHC alivyowapeleka akina Halima Mdee huko Dubai kula bata!
Ni kipi kinachokufurahisha wewe Kati ya kujamba na kuharisha kwangu au Vyote kwako wewe ni Sawa?"Unatishia kujamba huku unaharisha?
Kuwa kada wakati mwingine ni mzigo.
Issue hapa sio Lockdown, bali "CONTROL". Sisi hapa hatuna taarifa yoyote na hatujui hata tunaugua kiwango gani?? Ni hapo ndipo nchi zingine zinaona tunaweza kuwa tunasambaza corona wakati wao wanapambana kuitokomeza kwa njia ya kupima na control zingine. Bila kupima huwezi hata kujua ukubwa wa tatizo.
Lazima mkubali kuwa nchi yenu siyo kisiwa
Ukiambiwa tembea uchi maana nchi nyingine wanatembea utafanya hivyo?
Unafurahia?
Umeshapanic mmakonde!
Na wewe ndio MC!Kwa sababu unazungumza mambo ya kwenye kitchen party
For sureNi sawa tu, wana haki ya kulinda nchi yao. Ila huko ambako hawajaweka huo utaratibu ndio watawaletea hio covid 19.
Kwa wanyamapori wengine sio?Waafrika ni jamii ya wanyamapori, hawafi kwa mafua ila wanaweza kuyasambaza kwa wengine.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Nenda ukachokonolewe ubongo kwa njia ya pua hadi ujambe kamasi,😂😂Hutaweza kusafiri kwenda Dubai kama huna cheti cha vipimo vya COVID 19 na kama utajidanganya eti hutapima basi sahau maana ukiingia kwao wanakupima tena na Ole wako ukutwe na COVID 19.
Wazee wa ficha ficha hapa lazima mpatikane! Eti kipimo kinasababisha matatizo ya ubongo!