battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Hongera mzee, na pole kwa kutopata kura za kutosha kwenye maoni.Kufuatia mimi siku hizi kuwa ni kada mpya wa Chama cha Mapinduzi, kila nikuona humu CCM inabagazwa, au viongozi wa CCM wana bagazwa, siwezi kukaa kimya, nitajitokeza kuwatetea na kukitetea chama changu humu Mitandaoni.
P
Jiandae tukapime Covid kabla hatuja safiri kwenda UAE