Matingi litikiti
Member
- Apr 26, 2016
- 64
- 25
Unatokea wapi kuelekea bagamoyo?Wanajanvini asbh na mapema nilikuwa naelekea Bagamoyo sasa kuna binti nilimkuta kakaa tayari nami nikikaa kwenye sit aliekaa yule bint sasa ndipo akaanza kunishobokea nimlipie nauli eti yye nauli yake haitoshi sasa nikamwambia anipe ile nauli isiyotosha ili nilipe yye hataki ananitolea shida nyingine anasema hana pesa ya kula njiani sasa huu msaada au mzinga. ....?
Hii sentensi ni fupi ila imebeba ujumbe mzito sana!Maradhi hayo..Achana nayo
Wanajanvini, asbh na mapema nilikuwa naelekea Bagamoyo sasa kuna binti nilimkuta kakaa tayari nami nikikaa kwenye sit aliekaa yule binti sasa ndipo akaanza kunishobokea nimlipie nauli eti yeye nauli yake haitoshi sasa nikamwambia anipe ile nauli isiyotosha ili nilipe yeye hataki ananitolea shida nyingine anasema hana pesa ya kula njiani sasa huu msaada au mzinga. huyo katokea block 41 mkuu
Kama ni safari ya bagamoyo hilo lilikuwa jini linakutestWanajanvini, asbh na mapema nilikuwa naelekea Bagamoyo sasa kuna binti nilimkuta kakaa tayari nami nikikaa kwenye sit aliekaa yule binti sasa ndipo akaanza kunishobokea nimlipie nauli eti yeye nauli yake haitoshi sasa nikamwambia anipe ile nauli isiyotosha ili nilipe yeye hataki ananitolea shida nyingine anasema hana pesa ya kula njiani sasa huu msaada au mzinga. ....?
Halafu nawewe unakuja mbio kuchangiaSAVER za JF zinakazi kwa hawa wanaume wa dar es salaam,Itafikia kipindi wakiona sisimizi wanakuja mbio JF kuanzisha thread.
Nashukuru kwa jibu kaka mkubwaHalafu nawewe unakuja mbio kuchangia
Vip leo huna stori zako zile za majini na chuma ulete?Halafu nawewe unakuja mbio kuchangia