DOKEZO Abiria wa Basi la Shabiby tulalamikia huduma mbovu za hoteli Morogoro tunaomba mbadilishe haraka hoteli

DOKEZO Abiria wa Basi la Shabiby tulalamikia huduma mbovu za hoteli Morogoro tunaomba mbadilishe haraka hoteli

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Panda ABC ndugu, sehemu ya chakula na sehemu ya haja ni safi kabisa. Vyoo vyenye hadhi na heshima. Basi huduma nzuri. Shabiby huduma ni hovyo na wanaposimama ni pachafu. Ukienda Ofisini kwa Shabiby customer care ni hovyo kabisa. Nenda pale ABC utafurahia huduma zao kuanzia ofisini kwao, safarini hadi hotelini.

Shabiby ana mabasi mazuri na watoa huduma wa ndani ya basi wana kauli nzuri. Lkn pale ofisini dodoma customer care yao ni hovyo, pia mahali wanaposimama kwa ajili ya chakula na haja kwakweli hapaendani na hadhi ya basi lenyewe. Vyoo ni vichafu na mazingira ni ya hovyo hovyo tu
Wataambulia u.t.i kwa ghalama zao
 
Watanzania na Watu weusi kwa ujumla pamoja na Wahindi ni WACHAFU WA MAZINGIRA na Waharibifu wa vitu vizuri ilihali hawawezi kubuni na kuunda vitu hivyo

Mfano hivi vifaa vyote vya chooni, masinki, na miundo mbinu yaani wanajua tu kuharibu

waarabu wapo vizuri
 
Back
Top Bottom