KERO Abiria wa Mwendokasi tuliotakiwa kutoka Kivukoni kwenda Kimara, Dereva katupeleka Morocco kisha akaturudisha Kivukoni

KERO Abiria wa Mwendokasi tuliotakiwa kutoka Kivukoni kwenda Kimara, Dereva katupeleka Morocco kisha akaturudisha Kivukoni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Halijatokea bahati mbaya limepangwa kimkakati Hilo,,hiyo yote ni kutafuta sababu za kuubinafsisha watu wapige pesa tani 34 kama Foton za mchina
 
TUNAKOELEKEA KUNA SIKU DEREVA WA MWENDOKASI ATAPIGWA NA ABIRIA. NITOE TAHADHARI SIKU AKIPIGWA ANAWEZA KUUAWA.
MCHENGERWA KAA NA MADEREVA HUYU MKUU ALIYELETWA AMESHINDWA KUDUMISHA NIDHAMU YA MADEREVA
 
Ni pressure wanazokabiliana nazo kila kukicha
Wasafiri wengi kuliko huduma ya mabasi
Lazima mabasi yawe mengi kiasi mpaka mabasi yanakuwa tupu wakati mwingine
Yaani mabasi tu wanashindwa eti wanataka walingane na nchi zingine
Usafiri ni muhimu sana kwa binadamu waache kuzingua
Kweli eti wanasema tunaongeza mabasi 70 badala ya Mia 7
 
Jana Machi 26, 2024 nikiwa kwenye Kituo cha Mwendokasi cha Kivukoni, kulikuwa na nyomi la hatari mida ya jioni, mabasi mengi yalikuwa yamepaki pembeni na machache yaliyokuja hayakukidhi haja ya huduma iliyotakiwa kutolewa.

Watu walikuwa wengi na wengine wakionekana wanataka kuwahi kwenda kupata futari.

Tukiwa katika hali hiyo, Saa 1:00 Usiku likaja basi kushusha abiria Namba zake za usajili T 591 DWR, baada ya kumaliza kala halijaanza utaratibu wa kuja pale tulipokuwa tumepanga foleni ya kwenda Kimara, Dereva wa Basi hilo akaanza kupandisha Wafanyakazi wenzake na baadhi ya Walemavu.

Wakati akifanya hivyo idadi ya aliokuwa akiwapandisha ni kubwa, ikabidhi watu waanze kuvamia nao waingie bila kufuata utaratibu, nami nikachoma ndani.

Dereva akatutaka tushuke, watu tukakaza, kaona sasa atukomeshe, badala ya Kwenda Kimara akatupeleka Morocco, huko napo watu wakakaza kushuka, eti alitaka tushuke pale.

Baada ya ubishi wa muda mrefu akachoma mafuta akaturudisha Kivukoni, huko napo abiria wakakaza, akaja Msimamizi wake, naye badala atumie busara, akaanz kutuambia “Nyie si mnajifanya vichaa, sasa sisi vicha zaidi yenu, leo mtalala hapohapo.”

Kulikuwa na vijana na madogo kibao wanafunzi wakaanza kuimba nyimbo kama vile wanaandamana.

Ndipo kuna mtu mzima mmoja nikaona ameshika simu akampigia Waziri Mohammed Mchengerwa, akamweleza kinachoendelea, kwanza Waziri hakuamini, akamwambia apige picha au arekodi video amtumie, yule mdingi akafanya hivyo.

Ndipo baadaye nasikia huyu bosi mpya wa Mwendokasi naye akapiga simu na kusema anakuja eneo la tukio, kusikia hivyo yule supervisor na dereva wake wakasepa, wakaona msala huo.

Tukapata dereva mwingine sfari ya kuondoka Kivukoni ikaanza Saa 3:25 Usiku, tukafika Kimara almost saa Nne usiku.

Imagine tumekata tiketi Saa 12 Jioni kisha tunafika Kimara Saa Usiku.

Hawa madereva wa Mwendokasi nadhani wanatakiwa kuangaliwa saikolojia ya akili yao, pia huduma kwa ujumla za Mwendokasi ni janga.

Serikali ina kazi kubwa ya kufanya katika huu mradi.
Kuvunjika kwa serikali huwa kunaanza kama ufa mdogo sana.

Ninawaomba wenye uelewa wa haya mambo wayafuatilie labda watagundua mziki mnene behind.

Hii si mara ya pili abiria wa mwensoghafla kulalamikia sabotages za madereva wa magari hayo. Na je, zile tetesi za kuwa madereva wengi wametoka jeshini ni kweli au jiji pana hili?
 
Jana Machi 26, 2024 nikiwa kwenye Kituo cha Mwendokasi cha Kivukoni, kulikuwa na nyomi la hatari mida ya jioni, mabasi mengi yalikuwa yamepaki pembeni na machache yaliyokuja hayakukidhi haja ya huduma iliyotakiwa kutolewa.

Watu walikuwa wengi na wengine wakionekana wanataka kuwahi kwenda kupata futari.

Tukiwa katika hali hiyo, Saa 1:00 Usiku likaja basi kushusha abiria Namba zake za usajili T 591 DWR, baada ya kumaliza kala halijaanza utaratibu wa kuja pale tulipokuwa tumepanga foleni ya kwenda Kimara, Dereva wa Basi hilo akaanza kupandisha Wafanyakazi wenzake na baadhi ya Walemavu.

Wakati akifanya hivyo idadi ya aliokuwa akiwapandisha ni kubwa, ikabidhi watu waanze kuvamia nao waingie bila kufuata utaratibu, nami nikachoma ndani.

Dereva akatutaka tushuke, watu tukakaza, kaona sasa atukomeshe, badala ya Kwenda Kimara akatupeleka Morocco, huko napo watu wakakaza kushuka, eti alitaka tushuke pale.

Baada ya ubishi wa muda mrefu akachoma mafuta akaturudisha Kivukoni, huko napo abiria wakakaza, akaja Msimamizi wake, naye badala atumie busara, akaanz kutuambia “Nyie si mnajifanya vichaa, sasa sisi vicha zaidi yenu, leo mtalala hapohapo.”

Kulikuwa na vijana na madogo kibao wanafunzi wakaanza kuimba nyimbo kama vile wanaandamana.

Ndipo kuna mtu mzima mmoja nikaona ameshika simu akampigia Waziri Mohammed Mchengerwa, akamweleza kinachoendelea, kwanza Waziri hakuamini, akamwambia apige picha au arekodi video amtumie, yule mdingi akafanya hivyo.

Ndipo baadaye nasikia huyu bosi mpya wa Mwendokasi naye akapiga simu na kusema anakuja eneo la tukio, kusikia hivyo yule supervisor na dereva wake wakasepa, wakaona msala huo.

Tukapata dereva mwingine sfari ya kuondoka Kivukoni ikaanza Saa 3:25 Usiku, tukafika Kimara almost saa Nne usiku.

Imagine tumekata tiketi Saa 12 Jioni kisha tunafika Kimara Saa Usiku.

Hawa madereva wa Mwendokasi nadhani wanatakiwa kuangaliwa saikolojia ya akili yao, pia huduma kwa ujumla za Mwendokasi ni janga.

Serikali ina kazi kubwa ya kufanya katika huu mradi.
HUYO MWEKEZAJI MPYA AJE TU

MADEREVA WENYEWE WAMECHOKA NA HIYO KAZI
 
Jitahidini mnunue haka muache malalamiko

images (3).jpeg
 
Ni pressure wanazokabiliana nazo kila kukicha
Wasafiri wengi kuliko huduma ya mabasi

Lazima mabasi yawe mengi kiasi mpaka mabasi yanakuwa tupu wakati mwingine
Yaani mabasi tu wanashindwa eti wanataka walingane na nchi zingine
Usafiri ni muhimu sana kwa binadamu waache kuzingua
Kweli eti wanasema tunaongeza mabasi 70 badala ya Mia 7
Wewe unalijua tatizo.
 
Huu Mradi wakabidhiwe RTA ambao ni ndugu na DP world haraka iwezekanavyo, mana hala ni mbaya sana Dar es Salaam
 
Jana Machi 26, 2024 nikiwa kwenye Kituo cha Mwendokasi cha Kivukoni, kulikuwa na nyomi la hatari mida ya jioni, mabasi mengi yalikuwa yamepaki pembeni na machache yaliyokuja hayakukidhi haja ya huduma iliyotakiwa kutolewa.

Watu walikuwa wengi na wengine wakionekana wanataka kuwahi kwenda kupata futari.

Tukiwa katika hali hiyo, Saa 1:00 Usiku likaja basi kushusha abiria Namba zake za usajili T 591 DWR, baada ya kumaliza kala halijaanza utaratibu wa kuja pale tulipokuwa tumepanga foleni ya kwenda Kimara, Dereva wa Basi hilo akaanza kupandisha Wafanyakazi wenzake na baadhi ya Walemavu.

Wakati akifanya hivyo idadi ya aliokuwa akiwapandisha ni kubwa, ikabidhi watu waanze kuvamia nao waingie bila kufuata utaratibu, nami nikachoma ndani.

Dereva akatutaka tushuke, watu tukakaza, kaona sasa atukomeshe, badala ya Kwenda Kimara akatupeleka Morocco, huko napo watu wakakaza kushuka, eti alitaka tushuke pale.

Baada ya ubishi wa muda mrefu akachoma mafuta akaturudisha Kivukoni, huko napo abiria wakakaza, akaja Msimamizi wake, naye badala atumie busara, akaanz kutuambia “Nyie si mnajifanya vichaa, sasa sisi vicha zaidi yenu, leo mtalala hapohapo.”

Kulikuwa na vijana na madogo kibao wanafunzi wakaanza kuimba nyimbo kama vile wanaandamana.

Ndipo kuna mtu mzima mmoja nikaona ameshika simu akampigia Waziri Mohammed Mchengerwa, akamweleza kinachoendelea, kwanza Waziri hakuamini, akamwambia apige picha au arekodi video amtumie, yule mdingi akafanya hivyo.

Ndipo baadaye nasikia huyu bosi mpya wa Mwendokasi naye akapiga simu na kusema anakuja eneo la tukio, kusikia hivyo yule supervisor na dereva wake wakasepa, wakaona msala huo.

Tukapata dereva mwingine sfari ya kuondoka Kivukoni ikaanza Saa 3:25 Usiku, tukafika Kimara almost saa Nne usiku.

Imagine tumekata tiketi Saa 12 Jioni kisha tunafika Kimara Saa Usiku.

Hawa madereva wa Mwendokasi nadhani wanatakiwa kuangaliwa saikolojia ya akili yao, pia huduma kwa ujumla za Mwendokasi ni janga.

Serikali ina kazi kubwa ya kufanya katika huu mradi.
Job ndungai to.lyikjbwhsusehdhhxhdjjsjjdjdjdjsejdjejjdudjejdudddgeheudidi
 
Wewe unalijua tatizo.
Haiwezekani demand kubwa namna hiyo halafu mabasi hakuna huu ni ujinga wa hali ya juu
Watu tunaongeza pato zaidi kwenye biashara kama kuna wateja wengi na lazima niwe na hiyo bidhaa ili niuze
Sasa wao wanaona foleni na kuchelewesha watu badala waongeze route zingine na mabasi wanakenua meno tu

Dereva atauwawa kwa ujinga wao
 
Abiria na nyie mna matatizo.
Hivi hamuwezi kua kama mbezi wanakopanga foleni mpaka msukumane mtake kuuana kisa kuwahi siti.

Mabasi hayatoshi, hiyo iko wazi, waziri atafutwe atatue hiyo changamoto.

Waziri anatafutwa kwa mipango, Shenzy.
 
Back
Top Bottom