Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma

Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?

Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi

Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara

Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?

Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini
 
Naskia Sgr wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma

Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi...
Kama kweli wanapakia abiria wa njiani ambao wanashukia vituo vya jirani kabisa na kulipa nauli kidogo, basi ni wazi kabisa kwamba hizo ni njama za hujuma ili kuua mradi huo. It is a sabotaging attacks against the SGR Project, and some of the TRC staffs are saboteurs.
 
Kama ni kweli abiria anatoa elfu Moja na anasafiri Hadi Dodoma basi huu mradi haufikishi mwaka na kujifia.kwa maana hiyo treni ikifika mwanza unaweza kulipia nauli ya elfumoja na kukufikisha Hadi mwanza.Uongozi wa TRc kitengo Cha tiketi kivunjwe.
 
Kama ni kweli abiria anatoa elfu Moja na anasafiri Hadi Dodoma basi huu mradi haufikishi mwaka na kujifia.kwa maana hiyo treni ikifika mwanza unaweza kulipia nauli ya elfumoja na kukufikisha Hadi mwanza.Uongozi wa TRc kitengo Cha tiketi kivunjwe.
Ni kweli na takukuru wametoa taarifa juzi
 
Kama kweli wanapakia abiria wa njiani ambao wanashukia vituo vya jirani kabisa na kulipa nauli kidogo, basi ni wazi kabisa kwamba hizo ni njama za hujuma ili kuua mradi huo. It is a sabotaging attacks against the SGR Project, and some of the TRC staffs are saboteurs.
Mkuu hili mimi nimelisema jana kwenye miongoni mwa threads moja humu jamvini, na niliiterm kama janja janja ya watu wa TRC kuonekana kama mradi umeshindikana uendeshawji wake na hatimaye atafutwe muwekezaji, kama tu ilivyo kwa mwendokasi.. haiingi akilini kwamba timu nzima ya TRC wamekosa maarifa ya kucontrol issue ndogo kama hiyo, it"s purely an economic sabotage.
 
Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi moro,Dom kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?
Usishangae kusikia ni wanachama watiifu wa chama chetu na wengine ni watumishi wa serikali
 
Mkuu hili mimi nimelisema jana kwenye miongoni mwa threads moja humu jamvini, na niliiterm kama janja janja ya watu wa TRC kuonekana kama mradi umeshindikana uendeshawji wake na hatimaye atafutwe muwekezaji, kama tu ilivyo kwa mwendokasi.. haiingi akilini kwamba timu nzima ya TRC wamekosa maarifa ya kucontrol issue ndogo kama hiyo, it"s purely an economic sabotage.
SGR ingetungiwa sheria ngumu kuilinda huu ujinga usingefanyika
 
watanzania (baadhi) wajinga sana wanajifanya watalaamu na professional wa kila kitu, kwani Pugu hakuna station ya treni? na kwa nini iljengwa kama haina maana? low iq folks, emotions zimewajaa badala ya logic, sgr ina treni aina mbali mbali kuna ya kawaida ambayo itasimama kila kituo na kuna express ambayo itasimama vituo vikubwa tu, kipi ambacho hamuelewi hapo? nchi haiendeshwi kwa personal interest bali interest za wote, huko Pugu kuna watu wanaishi pia …
 
Back
Top Bottom