Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
View: https://vm.tiktok.com/ZMrnwx2Bt/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data - Apps on Google Play
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ma TT ndio upigaji wenyewe... Inatakiwa treni iwe na nauli moja kama basi otherwise kuwe na electronic system itakayotoa alarm pale ambapo mtu anashuka na kupanda bila kutegemea mtu yeyoteWala hakuna Haja ya kutenga mabehewa, waweke system isiyokuwa na tiketi za njiani kituo cha kwanza kiwe Kingolwira na walipe nauli ya Morogoro. Kwa wale wanaoanzia njiani nako tiketi zisiruhusu mtu anayeishia ndani ya kilomita 50! Vinginevyo warudishe utaratibu wa enzi ya ngongongo, kuwe na ma TT watakaokuwa wanakagua tiketi kila baada ya muda fulani!
Hayo ya kutegemea system si ndiyo haya tunalalamikia kwamba raia wa Pugu anaenda mpaka Morogoro kwa buku? Unafikri kungekuwa na ukaguzi humo ndani nani angepitiliza kituo? Kama system wanayotimia ingekuwa na ufanisi mbona wangekuwa wameshawakamata. Maana kuanzia Pugu Seat lazima isome kwamba iko empty ili anayepandia Ruvu au Morogoro apewe hiyo seat. Sasa kote huko hawajafanikiwa kuwakamata?Hao ma TT ndio upigaji wenyewe... Inatakiwa treni iwe na nauli moja kama basi otherwise kuwe na electronic system itakayotoa alarm pale ambapo mtu anashuka na kupanda bila kutegemea mtu yeyote
Babu yako hajui gharama ya behewa hata wewe mjukuu naona ni hivyohivyo.Sasa hapa umetoa hoja gani zaidi ya Utopolo. Kwa hiyo Wasisafiri?
Nimeanza kusafiri na treni kabla ya Baba yako hajabalehe.
Utakuwa ni uzezeta kama mpaka miaka hii tunaweka mtu wa kukagua ticket kwenye basi. Jamani jamani tuweke mifumo ambayo mtu akiingia na kutoka ticket inamtambua. Kama ilikuwa asukie njiani ina-mpa adhabu ya kulipa the difference na faini juu. Pia mtu kama huyo anakuwa ni ngumu mfumo kumpa ticket siku za mbeleniHayo ya kutegemea system si ndiyo haya tunalalamikia kwamba raia wa Pugu anaenda mpaka Morogoro kwa buku? Unafikri kungekuwa na ukaguzi humo ndani nani angepitiliza kituo? Kama system wanayotimia ingekuwa na ufanisi mbona wangekuwa wameshawakamata. Maana kuanzia Pugu Seat lazima isome kwamba iko empty ili anayepandia Ruvu au Morogoro apewe hiyo seat. Sasa kote huko hawajafanikiwa kuwakamata?
Huko chini ya CCM hatufiki leo! Hiyo ya kuamini mifumo ndiyo hayo matokeo yake leo watu wanasafiri kwa Buku mpaka Dodoma!Utakuwa ni uzezeta kama mpaka miaka hii tunaweka mtu wa kukagua ticket kwenye basi. Jamani jamani tuweke mifumo ambayo mtu akiingia na kutoka ticket inamtambua. Kama ilikuwa asukie njiani ina-mpa adhabu ya kulipa the difference na faini juu. Pia mtu kama huyo anakuwa ni ngumu mfumo kumpa ticket siku za mbeleni
Utengenezaji wa mifumo ya tiketi si ndio watoto wetu pale udsm na vyuo vya wahindi mjini huku wanapata first class degrees? Sasa imekuwaje tena?Huko chini ya CCM hatufiki leo! Hiyo ya kuamini mifumo ndiyo hayo matokeo yake leo watu wanasafiri kwa Buku mpaka Dodoma!
Nao ni walipa KodiKama kweli wanapakia abiria wa njiani ambao wanashukia vituo vya jirani kabisa na kulipa nauli kidogo, basi ni wazi kabisa kwamba hizo ni njama za hujuma ili kuua mradi huo. It is a sabotaging attacks against the SGR Project, and some of the TRC staffs are saboteurs.
Lakini watanzania akili zetu zinatutosha wenyewe. Unanunua treni ya masafa marefu halafu unaweka nauli ya daladala... Hii sijui akili ya wizi tunaitoa wapi