Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

Hao wa Pugu serikali ingewafungulia Kiberenge(kile kilichokaa kama trekta/kichanja/ist) kinawatosha, hata wasilipe au walipe wakifika maana ni roho mkononi kufika ni majaaliwa, hata wale wa kafara watapatikana humo humo.
Shida ni kusimama simama kila baada ya dakika 2! Unajua spidi ya 160km/hour wewe!
 
Kaburu PW BHOTA alisikika akisema:
“Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society … Give them guns, they would kill themselves; Give them power, they will steal all the government money; Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!”
 
Staff nzima ya TRC kuanzia Bodi ya wakurugenzi na Mkurugenzi wake mkuu wapigwe chini au wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi! Hivi inaingia akilini train ya masafa marefu kupakia abiria wa buku? (1,000/=) kweli? Hawa watu wana akili au matope? Kwani daladala za gongolamboto hawazioni? Yaani train inayoenda speed ya 160km/saa iwe inasimama na kushusha abilia kila baada ya akika 5 au 10? Alafu bila aibu wanakuja kwenye hadhira na vyombo vya habari eti hao abilia wa buku wanasafiri hadi Dodoma/Morogoro kwa buku? Real? Mradi wa SGR umegharimu trillions za hela ya walipa kodi na madeni na riba juu alafu wajinga na mapunguani wanataka kuuharibu? Watanzania nani katuloga? Hivi unaweza kwenda Magufuli Bus terminal ukapanda basi la kwenda Dodoma ukawapa buku wakushushe kibaha wakakubali? Mambo mengine yanatia hasira?
Utaambiwa wameajiriwa kupitia interview na utumishi, ovyo kabisa
 
watanzania (baadhi) wajinga sana wanajifanya watalaamu na professional wa kila kitu, kwani Pugu hakuna station ya treni? na kwa nini iljengwa kama haina maana? low iq folks, emotions zimewajaa badala ya logic, sgr ina treni aina mbali mbali kuna ya kawaida ambayo itasimama kila kituo na kuna express ambayo itasimama vituo vikubwa tu, kipi ambacho hamuelewi hapo? nchi haiendeshwi kwa personal interest bali interest za wote, huko Pugu kuna watu wanaishi pia …
Acha hizo wewe! Station ya karibu inajengwa (mahususi) kwa abiria wa mbali kushuka! Mfano abiria kutoka Dodoma au Morogoro anakuja Dar lakini anaishi maeneo ya Pugu/Gongolamboto kushuka, na sio Train imeanza route Station ya Dar (railway) ili kupakia mtu wa kushuka Pugu! Haya ni matumizi mabaya ya akili!
 
we ni mshenzi sana, hao wanaoishi pugu daladala hazipo? watu wa daladala wafunge biadhara zao kisa sgr? acheni ujinga kutaka kuua mradi, nauli iwekwe flat rate, kutoka dar hadi moro na dar -dodoma, pia moro-Dodoma

mnaoshukia njiano mfano nyie wa pugu na maeneo mengine njiani mnalipa nauli ile ile ya dar-moro, huwezi kapande daladara utafika tu😠 , serikali wekeni flat rate prices mkitaka kunusuru mradi
Naunga mkono hoja 100%, hili sio jambo jipya wenye magari wameshawaonesha njia, huwezi kupanda bus toka Dodoma kwenda Dar ukasema mimi nashukia chalinze nilipe kidogo hakuna kitu kama hicho wewe lipa nauli ya seat full shauri yako hata ushukue Gairo. Maana kama unataka kwenda Gairo kapande magari ya Gairo. Kosa la reli ya zamani mkaliuwa mnarudia yale yale.

1-Train ya Dar-Dom hii ikifika Moro nikupakia tu hakuna kushusha kwa sababu Moro tayari wana train 8 kwa siku baina ya Dar-Moro, abiria wa kushuka Moro asikatiwe ticket kwenye Train ya Dar-Dom iwe flat bei Dar-Dom. Unataka kushuka Moro Train zipo kwanini ukapande ya Dom? hapo ndio upigaji.

2- Hii ya Dar-Moro ndio isimame vituo vya kati lakini bei flat ya Dar-Moro.

Kuongezea hii ya Dar-Dom waanze kushusha vituo vya baada ya Moro lakini nauli ni full Dar to Dom, wakati wa kurudi kushusha ianzie Moro kwenda mbele nauli flat. Ukiweka system inayokataa ku issue ticket za Moro kwenye train ya Dar-Dom itaondoa wizi usiache mikononi mwa wafanyakazi watapiga deal. Kuje na mfumo unaondeshwa na system usiache maamuzi kwa wafanyakazi wizi utaanzia hapo.
 
Staff nzima ya TRC kuanzia Bodi ya wakurugenzi na Mkurugenzi wake mkuu wapigwe chini au wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi! Hivi inaingia akilini train ya masafa marefu kupakia abiria wa buku? (1,000/=) kweli? Hawa watu wana akili au matope? Kwani daladala za gongolamboto hawazioni? Yaani train inayoenda speed ya 160km/saa iwe inasimama na kushusha abilia kila baada ya akika 5 au 10? Alafu bila aibu wanakuja kwenye hadhira na vyombo vya habari eti hao abilia wa buku wanasafiri hadi Dodoma/Morogoro kwa buku? Real? Mradi wa SGR umegharimu trillions za hela ya walipa kodi na madeni na riba juu alafu wajinga na mapunguani wanataka kuuharibu? Watanzania nani katuloga? Hivi unaweza kwenda Magufuli Bus terminal ukapanda basi la kwenda Dodoma ukawapa buku wakushushe kibaha wakakubali? Mambo mengine yanatia hasira?
Book jumlisha book!hela tayari.
 
Kqburu PW BHOTA alisikika akisema:
“Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society … Give them guns, they would kill themselves; Give them power, they will steal all the government money; Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!”
Mwehu nae huyo Botha wako na Trump!
 
watanzania (baadhi) wajinga sana wanajifanya watalaamu na professional wa kila kitu, kwani Pugu hakuna station ya treni? na kwa nini iljengwa kama haina maana? low iq folks, emotions zimewajaa badala ya logic, sgr ina treni aina mbali mbali kuna ya kawaida ambayo itasimama kila kituo na kuna express ambayo itasimama vituo vikubwa tu, kipi ambacho hamuelewi hapo? nchi haiendeshwi kwa personal interest bali interest za wote, huko Pugu kuna watu wanaishi p
Ni sawa kabisa ila suala la kulipa buku mpka moro hi ishu sio ya kuchekea kumbuka uke mradi jiwe na mama walikopa trillioni tusifanye mchezo na hawa ccm
 
Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma

Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?

Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi

Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara

Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?

Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini
Wahudumu pia niwazembe hawakagui tiketi
 
kwa nini station imejengwa hapo sasa kama haina maana? hata wewe kama hautaki treni isimame Pugu au station yoyote ile ndogo unaweza kupanda abudi au shabibi pia siyo lazima upande treni …
Station ya pale ingekuwa ya kupanda tu sio kushuka imagine train unaenda imejaa harafu abiria ni wa kushuka pugu unapakia abiria 1000 wote wanashuka pugu na nauli ni 1000 harafu unaacha abiria 800 na nauli 31000 usije fikiri wafanya maamuzi wanaakili kuliko wewe hao wao wanafanya makosa pengine hawakutegemea abiria kuwa wengi kiasi hichi
 
treni ya abiriahuwa ni huduma kwa jamiii ndio maana vituo vipo kila mahala....cha muhimu hao matiketi taker(T>T) wapakie bahewa la watu wa njiani alafu wakague kila mara kama treni ya zamani walivyokuwa wanafanya...wakimpata mhujumu wanamweka sero hata wiki tatu na kazi ngumu....ujinga utaisha...
 
Back
Top Bottom