Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
NakaziaWasishushe mtu hadi Mororogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWasishushe mtu hadi Mororogo
Wanapanga bila kuhusisha wadau?
Serikali haifanyi biasharaLabda hujui maana ya biashara
Inafanya,Serikali haifanyi biashara
Magindu tusishike kweliTreni ibebe Morogoro na Dodoma tu hao wengine wanapoteza muda tu
Yani watu wanaangalia fursa ukizubaa unapigwa
Staff nzima ya TRC kuanzia Bodi ya wakurugenzi na Mkurugenzi wake mkuu wapigwe chini au wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi! Hivi inaingia akilini train ya masafa marefu kupakia abiria wa buku? (1,000/=) kweli? Hawa watu wana akili au matope? Kwani daladala za gongolamboto hawazioni? Yaani train inayoenda speed ya 160km/saa iwe inasimama na kushusha abilia kila baada ya akika 5 au 10? Alafu bila aibu wanakuja kwenye hadhira na vyombo vya habari eti hao abilia wa buku wanasafiri hadi Dodoma/Morogoro kwa buku? Real? Mradi wa SGR umegharimu trillions za hela ya walipa kodi na madeni na riba juu alafu wajinga na mapunguani wanataka kuuharibu? Watanzania nani katuloga? Hivi unaweza kwenda Magufuli Bus terminal ukapanda basi la kwenda Dodoma ukawapa buku wakushushe kibaha wakakubali? Mambo mengine yanatia hasira?
Yaani umepiga penyewe ila sina hakika kama wahusika watafanyia kaziNaskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma
Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?
Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi
Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara
Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?
Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini
Ticketing Software ndo Tatizo- ilitakiwa mtu akishuka Pugu Software ionyeshe kuwa baada ya Pugu Siti ipo wazi.... Software ya TRC Ticketing yeyewe inasoma Dar- Dodoma au Dar - Moro akuna kituo kingine🤣🤣🤣.Jumamos nilikuwa natoka Dodoma to Dar..... 1. System inaonyesha Tren imejaa mpaka kesho Jumanne.....Japo kuna mtu aliingia kwenyr system Jumamos saa tano mchana akapata ticketi...Mimi nilipata Ticket Dodoma- Moro, na kukata ya Jumapili Moro Dar .... tren wakati inatoka Dodoma nilipata siti behewa no 12. Nilipandia Behewa no.6.... kila behewa lilikuwa na siti tupu mengine zaidi ya siti 5 au zaidi. Ata Behewa no 12 pia lilikuwa na siti chache bila watu.... nikiwa ndani ya Treni nilipomuuliza Muhudumu kama ntapata ticket ya Moro- Dar akasema ndo ntapata ila badala ya elfu 13, nimpe 26 elfu🤣Nikakataa... nikashuka Moro , Na jumapili nisafiri to Dar... Ticket yangu ya Dodoma Moro ilikuwa inasomeka Dodoma Dar es salaam Nauli elfu 18.Usalama wa Taifa au TRC management/board walikuwa wapi muda wote huo. Bila ku-anticipate kuwa kuna risk ya watu kulipa nauli ya pugu akaenda mpaka Dodoma?
Sasa hivyo vituo vya njiani wafugie kuku mkuu?Nadhani kukomesha hiyo, vituo vya karibu karibu kama hivyo iwe ni kupanda tu kwenda mbali.....
Hizo ni huduma siyo biasharaInafanya,
ATCL, SGR, Posta, benki ya posta, TANESCO, MSD, AICC, DAWASCO, Meli, Mwendokasi, Daily News, Azania Bank, NMB n.k zote hizi ni biashara za serikali
Baki na ujinga wako.Hizo ni huduma siyo biashara
Na wewe baki na wakwakoBaki na ujinga wako.
Hii ni hatari... Natumaini wahusika wanafuatilia hata kama walikuwa hawataki kuyajua hayaTicketing Software ndo Tatizo- ilitakiwa mtu akishuka Pugu Software ionyeshe kuwa baada ya Pugu Siti ipo wazi.... Software ya TRC Ticketing yeyewe inasoma Dar- Dodoma au Dar - Moro akuna kituo kingine🤣🤣🤣.Jumamos nilikuwa natoka Dodoma to Dar..... 1. System inaonyesha Tren imejaa mpaka kesho Jumanne.....Japo kuna mtu aliingia kwenyr system Jumamos saa tano mchana akapata ticketi...Mimi nilipata Ticket Dodoma- Moro, na kukata ya Jumapili Moro Dar .... tren wakati inatoka Dodoma nilipata siti behewa no 12. Nilipandia Behewa no.6.... kila behewa lilikuwa na siti tupu mengine zaidi ya siti 5 au zaidi. Ata Behewa no 12 pia lilikuwa na siti chache bila watu.... nikiwa ndani ya Treni nilipomuuliza Muhudumu kama ntapata ticket ya Moro- Dar akasema ndo ntapata ila badala ya elfu 13, nimpe 26 elfu🤣Nikakataa... nikashuka Moro , Na jumapili nisafiri to Dar... Ticket yangu ya Dodoma Moro ilikuwa inasomeka Dodoma Dar es salaam Nauli elfu 18.
Wala hakuna Haja ya kutenga mabehewa, waweke system isiyokuwa na tiketi za njiani kituo cha kwanza kiwe Kingolwira na walipe nauli ya Morogoro. Kwa wale wanaoanzia njiani nako tiketi zisiruhusu mtu anayeishia ndani ya kilomita 50! Vinginevyo warudishe utaratibu wa enzi ya ngongongo, kuwe na ma TT watakaokuwa wanakagua tiketi kila baada ya muda fulani!Wanashindwa kuwa wabunifu. Watengeneza mabehewa ya Abiria wa njiani.
Na kwa treni inayoanzia Dar na kituo cha kwanza kiwe Ruvu siyo Pugu.
Shida tumejaza watu wasiofikira katika hizi Taasisi.
Juzikati nimetoka Morogoro mjini kwenda Kilosa. Nikapanda gari ya Kilosa nia yangu nikashuke Dumila kisha niendelee baadae. Gari imefika Dumila nimesinzia, nimezinduka Mvumi nikafika Kilosa kwa nauli ya Dumila.Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma
Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?
Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi
Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara
Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?
Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini