Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi - Dar

Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi - Dar

Kwa mujibu wa ratiba hao watakao kuwa wanalipia (daraja la 3) 16500/- hawatapewa siti za kukaa au niaje machalii...!
 
Nauliza, wakazi wa Marangu na Rombo hiyo treni inawafaa, kulingana na geografia ilivyo. Naomba kufahamishwa. Nilipanda treni hiyo mwaka 1994 nikiwa mdogo so sikumbuki mengi.
Mkuu kama unamiliki basi na unalangua nauli imekula kwako
 
hakika Magufuli ni messenger wa Mungu kwenye hili Taifa.
 
Nauliza, wakazi wa Marangu na Rombo hiyo treni inawafaa, kulingana na geografia ilivyo. Naomba kufahamishwa. Nilipanda treni hiyo mwaka 1994 nikiwa mdogo so sikumbuki mengi.

Na ndicho kinachofanya watu wapande hiyo train; ugeni kwa wengi wao. Euphoria hiyo itakapoisha ndio demand halisi itakapojulikana.
 
Dahhh wabongo bhana ,tusishangae kesho hapa kila mtu akataka treni hii ipite hadi mlangoni kwake ! Guys let's us learn to appreciate a little thing then we will later be awarded big
Kuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.
 
Kuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.
Asee ,Bosi treni haipiti Marangu hii
 
Kuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.
Labda ushuke kahe then utafute usafiri hadi njia panda
 
View attachment 1286694

SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuwa kutokana na mwitikio wa wasafiri katika safari mpya ya treni ya abiria kati ya Dar es Salaam – Tanga – Moshi, itaongeza siku za safari pamoja na idadi ya mabehewa.

Aidha, wakazi wanaoishi mikoa ya Kanda ya Kaskazini ikiwamo Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga wamemtaja Rais John Magufuli kuwa ni kiongozi aliyeletwa na Mungu kuwakomboa maskini nchini.

Mwandishi unakimbilia wapi???
 
Wachaga mshadanganyiwa train ninyamaze.. ...
Mambo kujenga chattle..
 
Bora iwepo "watu wasafirishe mirungi na bhangi kwa urahisi zaidi"
 
Back
Top Bottom