Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kwa mujibu wa ratiba hao watakao kuwa wanalipia (daraja la 3) 16500/- hawatapewa siti za kukaa au niaje machalii...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama unamiliki basi na unalangua nauli imekula kwakoNauliza, wakazi wa Marangu na Rombo hiyo treni inawafaa, kulingana na geografia ilivyo. Naomba kufahamishwa. Nilipanda treni hiyo mwaka 1994 nikiwa mdogo so sikumbuki mengi.
Lini iliwahi kushuka manake siku zote ipo juuKaskazini inapaa sasa
Namiliki bodaboda, huko nilikoulizia ni nyumbani, nimeuliza nipate jibu. Je pale kituoni njia panda kituo cha treni kipo karibu?Mkuu kama unamiliki basi na unalangua nauli imekula kwako
Nauliza, wakazi wa Marangu na Rombo hiyo treni inawafaa, kulingana na geografia ilivyo. Naomba kufahamishwa. Nilipanda treni hiyo mwaka 1994 nikiwa mdogo so sikumbuki mengi.
Kuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.Dahhh wabongo bhana ,tusishangae kesho hapa kila mtu akataka treni hii ipite hadi mlangoni kwake ! Guys let's us learn to appreciate a little thing then we will later be awarded big
Hii ndo hojaNa ndicho kinachofanya watu wapande hiyo train; ugeni kwa wengi wao. Euphoria hiyo itakapoisha ndio demand halisi itakapojulikana.
Asee ,Bosi treni haipiti Marangu hiiKuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.
Labda ushuke kahe then utafute usafiri hadi njia pandaKuuliza sio ujinga, na nimeuliza kwa nia njema tu maana huko ni nyumbani, Je itanilazimu kutoka Marangu mpaka moshi mjini au pale kiituoni njia panda pana stesheni karibu. Mtu anapotaka ufafanuzi mnaona anapinga, achani huo matazamo hausaidi kitu na wala haujengi.
Mwandishi unakimbilia wapi???View attachment 1286694
SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuwa kutokana na mwitikio wa wasafiri katika safari mpya ya treni ya abiria kati ya Dar es Salaam – Tanga – Moshi, itaongeza siku za safari pamoja na idadi ya mabehewa.
Aidha, wakazi wanaoishi mikoa ya Kanda ya Kaskazini ikiwamo Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga wamemtaja Rais John Magufuli kuwa ni kiongozi aliyeletwa na Mungu kuwakomboa maskini nchini.
Mpwa umeamua kujitoa ufahamu ili ule pesa za Lumumba.MPWAA WACHA NIPONGEZE MAENDELEO MPWAA