Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

Kuna secret issues kwenye hii issue yawezekana isiwe rahisi mtu wabkawaida kama mimi kuelewa au kuielezea ila hili ni jambo.

Bado naendelea kujiuliza ni vipi ipotee kutoka kwenye rada na mazingira wanayoyafaham kuwa ndiyo njia ya hiyo Submarine yao?.

Hii siyo ajali kwa watu wa ndani sana bali ni aina ya kutaka kuondoa aina ya watu ajalini, nasubiri hapa muda flani ujao tutapata majibu yanayofaa.
••••••••••••

In the story;
Ilikuwa inasubiliwa hii.
Ilikuwa ni kitendo cha masaa 99 yaishe kisha wakatoa taarifa za kifo kwamba kupasuka kwa hiyo submarine ya OceanGate kutokana na hali mbaya ya bahari ndiko kumepelekea vifo vya hao watu.
 
Kuna secret issues kwenye hii issue yawezekana isiwe rahisi mtu wabkawaida kama mimi kuelewa au kuielezea ila hili ni jambo.

Bado naendelea kujiuliza ni vipi ipotee kutoka kwenye rada na mazingira wanayoyafaham kuwa ndiyo njia ya hiyo Submarine yao?.

Hii siyo ajali kwa watu wa ndani sana bali ni aina ya kutaka kuondoa aina ya watu ajalini, nasubiri hapa muda flani ujao tutapata majibu yanayofaa.
Kuna bilionea mmoja mwaka 1928 nayeye alipotea kiajabuajabu kwenye English channel aliwa juu futi 4000 kwenye ndege yake na hajawahi kuonekana mpaka leo.
 
Binadamu anaweza kufanya mawasiliano na kituo cha ISS kilichopo kilomita 400 nje ya dunia,anaweza kuwasiliana na kucontrol James Web Space Telescope iliyopo kilomita milioni na nusu kutoka dunia, anaweza kupata sauti na data nyingine kutoka Voyager 1 iliyopo zaidi ya kilomita billion 12 kutoka duniani.
Lakini Binadamu huyo huyo kwa muda wa siku nne ameshindwa kupata data zozote za maana kutoka kwenye chombo kilicho takribani kilomita 3.8 tu chini ya bahari.
Tunahitaji kujitafakari.
Rest in Peace Titan Crew.
 
Wameokota vipande, walisaini wenyewe mkataba wa kifo mara tatu kwa akili yao kabla ya dive,
Na kuhusu miili wameambiwa wasahau,

NOTE : Hawa watu hawakufa kwa kukosa pumzi ieleweke, chombo kilipasuka kutokana mgandamizo, hivyo wamesema kifo chao kilikua ndani ye sekunde kadhaa.
 
Binadamu anaweza kufanya mawasiliano na kituo cha ISS kilichopo kilomita 400 nje ya dunia,anaweza kuwasiliana na kucontrol James Web Space Telescope iliyopo kilomita milioni na nusu kutoka dunia, anaweza kupata sauti na data nyingine kutoka Voyager 1 iliyopo zaidi ya kilomita billion 12 kutoka duniani.
Lakini Binadamu huyo huyo kwa muda wa siku nne ameshindwa kupata data zozote za maana kutoka kwenye chombo kilicho takribani kilomita 3.8 tu chini ya bahari.
Tunahitaji kujitafakari.
Rest in Peace Titan Crew.
Inawezekana ni Miundombinu. Hayo mavyombo ya anga za mbali yalishawekewa miundombinu ya mawasilino na nadhani ni gharama sana tofauti na baharini ambapo miundombinu haijawekwa sababu ya gharama na fact kuwa ni suala la kwenda na kurudi. Kupotea ni ajali. Kila kitu ni biashara.
 
Dah!... Rip...huenda waundaji wa submarine wakarudi kibaruani kutengeneza mpya za kisasa zaidi zitakayoziba mapungufu yaliyojitokeza kwenye hii iliyozama

ikiwezekana wataibuka na njia mpya za kufanya 'exploration' za aina hii ili kupunguza 'risk' za kupata ajali.....japo ajali haina kinga.
T14 Armata
 
Back
Top Bottom