makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Inafikirisha sanaKifo cha kupoteza pumzi kinatisha sana.
Sometimes unaweza kukuta walikuwa wana wish wangekuwa na bastola waweze kufa bila mateso.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafikirisha sanaKifo cha kupoteza pumzi kinatisha sana.
Sometimes unaweza kukuta walikuwa wana wish wangekuwa na bastola waweze kufa bila mateso.
Channel ya National Geographic.Tunasubiri movie
Duh!!Mabilionea wamekwenda na maji.....
Hatari..Wapumzike salama...Kifo cha kwenye maji daah. Unakufa unajiona kabisa
AiseeKifo cha kupoteza pumzi kinatisha sana.
Sometimes unaweza kukuta walikuwa wana wish wangekuwa na bastola waweze kufa bila mateso.
Haikupewa uzito na nani? Tuanzie hapo kwanza, mambo mengine tatizo linakua sisi wenyewe waafrika matatizo yetu hatuyapi uzito badala yake tutaka wazungu ndio wayape uzito.Wazungu bhana, yaani wabaguzi sana, majuzi hapa Waafrika wamezama na Jahazi lao bahari ya Mediterania, lkn habari hiyo haikupewa uzito wa maana.
sasa hiyo chombo ilishawahi kwenda na kurudi ?Huwezi kuogelea kwa kina hiko, ni mbali kiasi kwamba pressure yenyewe ingewasaga.
Maji na yenyewe ya uzito! Embu fikiria uachiliwe km 4 chini ya bahari utakuwa kwenye Hali ganisasa hiyo chombo ilishawahi kwenda na kurudi ?
na presha inatokea wapi ? kwani maji ya bahari yanatembea kama ya mito au yametulia kwenye uso wa dunia ?
sasa hiyo chombo ilishawahi kwenda na kurudi ?
na presha inatokea wapi ? kwani maji ya bahari yanatembea kama ya mito au yametulia kwenye uso wa dunia ?
Je kama Wameuawa?
Hawataenda tena hukoTunasubiri movie
Hata miili ya marehemu itakua ilisagwasagwa kabisa, bahari ni hatari sana kwenye kina kirefu.Ila haijalipuka(explode) wanasema implode Kiswahili sijui nini ni kama kubonyezwa Pande zote..
Pressure chini ya Maji ni kubwa mno hakingeweza kulipuka...
CEO naye alikuwepo Kwangu ameweka mfano mzuri ametengeza akajaribu mwenyewe...
Fe tu who care?View attachment 2665774
Kampuni ya OceanGate inayohusika na huduma za uwezeshaji na ukodishaji wa Nyambizi (Submarine) kwaajili ya shughuli za wa utalii, viwanda, utafiti na ugunduzi imesema hadi sasa inaamini kuwa abiria waliokuwa ndani ya Titan wamepoteza maisha.
hatua hiyo inakuja ikiwa ni siku 4 zimepita tangu kutowekwa kwa Nyambizi hiyo ilikuwa ikifanya Utalii katika eneo yalipo mabaki ya Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1912 na kuua zaidi ya watu 1,500.
Taarifa za wachunguzi pia zinaeleza kuwa hakuna matumaini ya kuweza kupatikana kwa miili ya abiria watano waliokuwemo ndani ya nyambizi ndogo ya Titan kwasababu kuna kila dalili Nyambizi ya Titan ililipuka ndani ya maji.
"Haya ni mazingira ya mabaya," anaongeza.
View attachment 2665778
=====
OceanGate said Thursday that it believes the passengers of the Titanic-bound submersible have “sadly been lost,” according to a statement from the company.
“We now believe that our CEO Stockton Rush, Shahzada Dawood and his son Suleman Dawood, Hamish Harding, and Paul-Henri Nargeolet, have sadly been lost,” the company said in a statement.
“These men were true explorers who shared a distinct spirit of adventure, and a deep passion for exploring and protecting the world’s oceans,” according to the statement. “Our hearts are with these five souls and every member of their families during this tragic time. We grieve the loss of life and joy they brought to everyone they knew.”
The company added:
“This is an extremely sad time for our dedicated employees who are exhausted and grieving deeply over this loss. The entire OceanGate family is deeply grateful for the countless men and women from multiple organizations of the international community who expedited wide-ranging resources and have worked so very hard on this mission. We appreciate their commitment to finding these five explorers, and their days and nights of tireless work in support of our crew and their families.
This is a very sad time for the entire explorer community, and for each of the family members of those lost at sea. We respectfully ask that the privacy of these families be respected during this most painful time.”