Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

Abiria waliokuwa kwenye Nyambizi ya Titan wakitalii kwenye mabaki ya Meli ya Titanic wafariki dunia

Wazungu bhana, yaani wabaguzi sana, majuzi hapa Waafrika wamezama na Jahazi lao bahari ya Mediterania, lkn habari hiyo haikupewa uzito wa maana.
Haikupewa uzito na nani? Tuanzie hapo kwanza, mambo mengine tatizo linakua sisi wenyewe waafrika matatizo yetu hatuyapi uzito badala yake tutaka wazungu ndio wayape uzito.
 
Huwezi kuogelea kwa kina hiko, ni mbali kiasi kwamba pressure yenyewe ingewasaga.
sasa hiyo chombo ilishawahi kwenda na kurudi ?

na presha inatokea wapi ? kwani maji ya bahari yanatembea kama ya mito au yametulia kwenye uso wa dunia ?
 
sasa hiyo chombo ilishawahi kwenda na kurudi ?

na presha inatokea wapi ? kwani maji ya bahari yanatembea kama ya mito au yametulia kwenye uso wa dunia ?

Pressure chini ya maji ni kutokana na uzito wa safu ya maji iliyo juu yake. Kila mara unapozama ndani ya maji, kina kinazidi kuongezeka na uzito wa maji juu yako unaongezeka. Hii husababisha kuongezeka kwa pressure kwa sababu uzito wa maji unaendelea kuongezeka na inasukuma mwili wako kutoka pande zote. Kwa hivyo, shinikizo chini ya maji linazidi kuongezeka kadiri kina linavyoongezeka.

Umbali waliokuwa we zama ni km 3.81,
Kwa kawaida binadam anaweza dive 18 meters bila oxygen tanks, akiwa na oxygens ni meter 66m. Zaidi ya hapo lazima wawe ndani ya vehicle, chombo kinavyoshuka chini zaidi pressure ya mgandamizo inazidi kuongezeka
 
Walikuwa wanasubiri masaa 99 yaishe kisha wakatoa taarifa za kifo kwamba kupasuka kwa hiyo submarine ya OceanGate kutokana na hali mbaya ya bahari ndiko kumepelekea vifo vya hao watu.
 
Ila haijalipuka(explode) wanasema implode Kiswahili sijui nini ni kama kubonyezwa Pande zote..
Pressure chini ya Maji ni kubwa mno hakingeweza kulipuka...

CEO naye alikuwepo Kwangu ameweka mfano mzuri ametengeza akajaribu mwenyewe...
Hata miili ya marehemu itakua ilisagwasagwa kabisa, bahari ni hatari sana kwenye kina kirefu.
 
Wa
View attachment 2665774
Kampuni ya OceanGate inayohusika na huduma za uwezeshaji na ukodishaji wa Nyambizi (Submarine) kwaajili ya shughuli za wa utalii, viwanda, utafiti na ugunduzi imesema hadi sasa inaamini kuwa abiria waliokuwa ndani ya Titan wamepoteza maisha.

hatua hiyo inakuja ikiwa ni siku 4 zimepita tangu kutowekwa kwa Nyambizi hiyo ilikuwa ikifanya Utalii katika eneo yalipo mabaki ya Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1912 na kuua zaidi ya watu 1,500.

Taarifa za wachunguzi pia zinaeleza kuwa hakuna matumaini ya kuweza kupatikana kwa miili ya abiria watano waliokuwemo ndani ya nyambizi ndogo ya Titan kwasababu kuna kila dalili Nyambizi ya Titan ililipuka ndani ya maji.

"Haya ni mazingira ya mabaya," anaongeza.

View attachment 2665778
=====

OceanGate said Thursday that it believes the passengers of the Titanic-bound submersible have “sadly been lost,” according to a statement from the company.

“We now believe that our CEO Stockton Rush, Shahzada Dawood and his son Suleman Dawood, Hamish Harding, and Paul-Henri Nargeolet, have sadly been lost,” the company said in a statement.

“These men were true explorers who shared a distinct spirit of adventure, and a deep passion for exploring and protecting the world’s oceans,” according to the statement. “Our hearts are with these five souls and every member of their families during this tragic time. We grieve the loss of life and joy they brought to everyone they knew.”

The company added:

“This is an extremely sad time for our dedicated employees who are exhausted and grieving deeply over this loss. The entire OceanGate family is deeply grateful for the countless men and women from multiple organizations of the international community who expedited wide-ranging resources and have worked so very hard on this mission. We appreciate their commitment to finding these five explorers, and their days and nights of tireless work in support of our crew and their families.

This is a very sad time for the entire explorer community, and for each of the family members of those lost at sea. We respectfully ask that the privacy of these families be respected during this most painful time.”
Fe tu who care?
 
Tusubiri tenaa movie sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom