About to fall in a trap

Inaonekana huyo kijana haumpendi ulikimbilia kwake ili ufarijiwe ila kama una uhakika huyo kijana anakupenda na yupo tayari kwenda hadi kwa wazazi olewa naye team kataa ndoa watakuponza .
Alikimbikia kuja kwangu
I don't chase men
 
😂😂😂😂😂😂😂😂noma!
 
Akili finyu kama yako siwezi kuskiza🤌
Utoto bado na kunuka maziwa bado kuna kusumbua, ndio maana mna nyongwa huko kwenye majumba maiti zinakutwa zimejinyea

Badala ukae usome, u-date na watoto wenzio unasumbua wanaume serias ungekuwa mwanangu ungekula fimbo Ata kama upo chuo🥶
 
Mwambie una majini yanataka damu yake
Sorry
 
Utoto bado na kunuka maziwa bado kuna kusumbua, ndio maana mna nyongwa huko kwenye majumba maiti zinakutwa zimejinyea

Badala ukae usome, u-date na watoto wenzio unasumbua wanaume serias ungekuwa mwanangu ungekula fimbo Ata kama upo chuo🥶
Unahela au unaongea tu utumbo jf
 
Nipeeni msabato😆
 
Igiza kama umefumaniwa
 
Too afraid

Labda tu Neema ya Mungu iniangukie!

Siaminii Kwenye Mahusiano Tena!

Acha ni focus na kuujeenga UFALME wa MUNGU tu.

I'm so fast to back home!
Eeeh kweli focus na Mungu
Life is too short
We have one life
Usisahau kufurahi
AchNa na hawa wapenda matako humu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…