About to fall in a trap

Sidhani kama I can love blindly
Do not say that, hisia hazitabiriki ipo siku utaingia sehemu kujipumzisha afu utaanza kuzama kimasihara na kusema "Hivi huyu alikua wapi" kumbe the guy he is there just for fun. So just muombe Mungu tu ili uendelee ivyo ivyo kama unavyo wish.. ila meza ikipinduka your words wiĺ backfire you.
 
Kuwa muwazi tu kuliko kumficha Kwann uitese roho yako
 
Ntaingiza mguu mmoja sio yote
 
Dada njia rahisi ni kumwambia humtaki na huwezi kuolewa nae,njia zingine zote hazitafaa,call a spade a spade dada
 
Baada ya kijana kukutoa tongotongo na kuona wengine sasa unamuona hana maana...
Umekula hela zake, umechezea moyo wake na leo unataka kumkimbia.

Wanangu wa kataa ndoa; another 3 points to defend.
 
Baada ya kijana kukutoa tongotongo na kuona wengine sasa unamuona hana maana...
Umekula hela zake, umechezea moyo wake na leo unataka kumkimbia.

Wanangu wa kataa ndoa; another 3 points to defend.
Tengua kauli.kwanza hana hela
Siwezi kuolewa na mwanaume mwenye mtoto
 
Huyo kijana ambaye humpendi, mpatie rafiki ako aliyeshindwa ku heal after break-up ya relatnshp yake.

Ili awe happy na kuendelea na masomo ya chuo.

Nweiiii nahisii hii ni [emoji478].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…