Kuna ile methali yenu usisahauI attract gentle men not play boys
That's my lucky side
Do not say that, hisia hazitabiriki ipo siku utaingia sehemu kujipumzisha afu utaanza kuzama kimasihara na kusema "Hivi huyu alikua wapi" kumbe the guy he is there just for fun. So just muombe Mungu tu ili uendelee ivyo ivyo kama unavyo wish.. ila meza ikipinduka your words wiĺ backfire you.Sidhani kama I can love blindly
Go back to school if you cannot connect dots mf
Habari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
Ntaingiza mguu mmoja sio yoteDo not say that, hisia hazitabiriki ipo siku utaingia sehemu kujipumzisha afu utaanza kuzama kimasihara na kusema "Hivi huyu alikua wapi" kumbe the guy he is there just for fun. So just muombe Mungu tu ili uendelee ivyo ivyo kama unavyo wish.. ila meza ikipinduka your words wiĺ backfire you.
Wewe hutaki mtoto?Kwao wanajiweza
Ila tatizo jingine ana mtoto
Sawa, i wish you and your guy a good fortune.
Watoto wa 2000,, mioyo yenu inavunjika mapema sana.Nlivunjwa moyo😂
Dada njia rahisi ni kumwambia humtaki na huwezi kuolewa nae,njia zingine zote hazitafaa,call a spade a spade dadaHabari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
Tengua kauli.kwanza hana helaBaada ya kijana kukutoa tongotongo na kuona wengine sasa unamuona hana maana...
Umekula hela zake, umechezea moyo wake na leo unataka kumkimbia.
Wanangu wa kataa ndoa; another 3 points to defend.