Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asije akajiingiza kwenye hizi casual sex/emotionless sex, hookup culture.fanya starehe zote unazozipenda
Its ok, Kama Uko above 30 get marriage aisee, Because the future is scare😹I'm ashamed of my age
I'm sorry
Unataka tuhitimishe kuwa hii ni sturungi mkuu?🤣Mallerina kwa mujibu wa huu uzi wako si upo chuo wewe?
Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma? Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake.. Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku...www.jamiiforums.com
Anakuoaje mwezi wa sita wakati utakuwa unafanya UE!!
kataa tu mpaka mkatao utakapokubalika.Nlimwambia sipo Tyr anasisitiza sasa nifanyaje
WaremboNdo Nini totoz
Usiolewe kwasababu watu wanataka uolewe, olewa kwasababu unajiona uko tayari kuolewa na kuwa mama wa familia.At least me and you are in the same boat
Hiki hiki ndicho nawaza achana na hawa washamba wananipondea na kuniita Malaya just because I want to.enjoy life and not ready to be committed to someone for a life time
kuwa mkali.Kivipi
Asante sanaUsiolewe kwasababu watu wanataka uolewe, olewa kwasababu unajiona uko tayari kuolewa na kuwa mama wa familia.
Hili ni jukwaa huru so mitazamo huwa ni tofauti na mitazamo mingi humu utaona watu wanakuponda kwasababu ya Mila na desturi za kitanzania na mambo haya bado hayajazoeleka sana huku kwetu Africa na ndio maana ndoa nyingi hazidumu kwasababu watu wanaoa au kuolewa kwa shinikizo la watu wengine.
Kwahiyo usije ukaingia kwenye huo mtego halafu ukaenda kuwa mke na mama wa ajabu katika familia yako.
Hapana nikamtongoze tuNikupe ukanitangaze
Usipende offers za mtu usiyehitaji kuwa nae. Anaweza kuharibu future yako na maisha yako.I'm tired of explaining that was my bestie
Na ndio maana nikamshauri asijikite sana kwenye mambo ya mapenzi na kama neno uhuru kwake analidefine katika engo hiyo ya mapenzi basi inabidi atanue uwezo wake wa kufikiri.asije akajiingiza kwenye hizi casual sex/emotionless sex, hookup culture.
kwa wanawake kuna madhara sana kufanya ngono kama wanaume.
Kila la heri mkuu.Asante sana
Kuolewa ntaolewa muda ukifika na kama natka sio niolewe nimfurahishe mwanaume